Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Mia Moja ni matatizoBi mkubwa huwa anamuambia asipopungua asiende kabisa kwake kumsalimia![]()



Dada yangu mmoja alifika 95 baada ya kujifungua mtoto wa 3
Akaanza kuugua presha
Hosp wakamwambia uzito umezidi
Alipambana

.

anatutakia Nini huyu??