Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Losheni zinazokufaa wewe ni za lemon na usiku usilale hakikisha una nawa uso wako kwa sabuni
Oh Asante nitatafuta.
Nilikomaa na Vaseline yangu hadi akili ikanikaa sawa..jipu zinauma aisee


Baadaye nikatafuta haya hapa.
IMG_20220328_201546_814.jpg
IMG_20220328_201713_117.jpg
 
Hivyo vitakuwa vikubwa aisee pole
Nikahisi tudogo hivi tulivyovizoea .

nimezoea usoni sipaki kitu toka nipo class six nikidai mafuta yanaleta chunusi .
Ngoja waje wengine wakushauri .
Inakuwa jipu kabisa wanaita jipu uchungu.
Kikiota basi unakuta huo upande wote unauma.

Mimi mwenyewe nilikuwaga napaka mafuta ya mgando tu..sometimes sipaki chochote na nilikuwa fresh sana ila baada ya kubadili mazingira ndo kasheshe ilipoanzia.
 
Teh kuna aunt yangu mmoja kuna siku mtu alikuja nyumbani kwake; hakumkuta aunt. Wakati mgeni anaondoka; akakutana na aunt njiani ndiyo kumwambia kuwa ametoka nyumbani kwake ila amemkuta mtoto wa aunt wa kiume (mjomba). Aunt alikuja kunisimulia hadi anatamani kulia " Mimi naweza kuzaa Mzee kama yule"? Mumewe ni mbegu fupi ya kibena. Nilicheka sana aisee, bado msongamano wa Shikamoo.
nmecheka, diet muhimu
 
Teh kuna aunt yangu mmoja kuna siku mtu alikuja nyumbani kwake; hakumkuta aunt. Wakati mgeni anaondoka; akakutana na aunt njiani ndiyo kumwambia kuwa ametoka nyumbani kwake ila amemkuta mtoto wa aunt wa kiume (mjomba). Aunt alikuja kunisimulia hadi anatamani kulia " Mimi naweza kuzaa Mzee kama yule"? Mumewe ni mbegu fupi ya kibena. Nilicheka sana aisee, bado msongamano wa Shikamoo.
 
Inakuwa jipu kabisa wanaita jipu uchungu.
Kikiota basi unakuta huo upande wote unauma.

Mimi mwenyewe nilikuwaga napaka mafuta ya mgando tu..sometimes sipaki chochote na nilikuwa fresh sana ila baada ya kubadili mazingira ndo kasheshe ilipoanzia.

Jipu uchungu vinauma eeh
Aisee inawezekana ni mazingira yamechangia pia
Tumia hayo mafuta ya Avon, yanaweza kukupenda ukarudi kama zamani .
Wishing you all the best .
 
Back
Top Bottom