Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Jaribu ufweeeNgoja nije kukukabe Koo ukohoe vizuri![]()
Hahahaha UncleWakapimwe mikojo kwa mkemia.. tunachapa ma story hapa.. na hayana ukweli ndio maana hii ni chit-chat.. nipo zangu buza kwa lulenge huku.. naishi zangu..sina hata cha kusikiliza mtu sijaja jf kusaka mpenzi.. hii ID yenyewe inaelekea ku expire
![]()
Mdogo angu tutafika mbinguni usiku wa manane. Nimecheka sanaaa
Aisee pole .. vimeanza ghafla tu ..Nielekeze namna ya kuzuia haya madude aisee
Yananikera mno..vilianzaga vijipu..yaani vina mafuta hivyo
![]()
Kudadeq
Alooo
Wewe ni mchaga halisi
Sijawahi ona mchaga Hana nywele za kueleweka.
Wewe ni mrembo mno aisee
Punguza Hilo Jani shost![]()

Imagine mawazo yanalinganaMdogo angu tutafika mbinguni usiku wa manane. Nimecheka sanaaa

Vile vijipu vidogoAisee pole .. vimeanza ghafla tu ..
Je huwa unapaka kitu usoni ?
..panakuwa kama pana mafuta,panatengeneza kipele badaye kinakuwa kijipu ..nikikitoa kikiisha baada ya muda kinaanza sehemu nyingine.Usinitishe hebu 🚶🏻♀️😂 Halafu unakesi..!
Nikisema hapa utapigika kinyama
Ongeza picha ingine shombe wetuAsante sana![]()

Hahahahaa
Hizo kama ni chunusi, hazina dawa mkuu, wala usihangaike kikubwa kama ngozi yako ina mafuta tumia lotion maalumu za ngozi yako, halafu punguza kula misosi yenye mafuta.Vile vijipu vidogo..panakuwa kama pana mafuta,panatengeneza kipele badaye kinakuwa kijipu ..nikikitoa kikiisha baada ya muda kinaanza sehemu nyingine.
Kwahiyo vinarotate tu.
Vile vishangazi vidark spots vilikuwaga vichache tu ila naona vinazidi.
Sipaki chochote zaidi ya mafuta yangu ya mgando Vaseline.
Baadaye nikawa natumia haya parachute..
Bora tu usiwe shangazi aiseeeMmh mimi mwili ukiamka kufutuka, unaniita shangazi sasa hivi

Siyo chunusiHizo kama ni chunusi, hazina dawa mkuu, wala usihangaike kikubwa kama ngozi yako ina mafuta tumia lotion maalumu za ngozi yako, halafu punguza kula misosi yenye mafuta.