Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama vaseline unapaka usoni na uso wako ni wa mafuta basi chunusi hazitaisha...
Nilikuwa napaka kote Vaseline yangu

Nikinunuaga kopo kubwa basi Mungu anipe nini tena.


Miaka yote nikikuwa napaka hayohayo ..
Duh,nilivyokuja sehemu ya joto ndo mshike mshike huu ukaanza.
Itabidi niachane sasa na Vaseline yangu.


Ushauri Kwa wanawake;
Kwa wadada ,wamama,Mabinti wanaotaka kumaintain hali za shepu za mtindi..then Vaseline is the best.
Ila nasikia ni Vaseline ile ingine ya blue isiyo na harufu..
Siyo kama hiyo yangu inayonukia.
 
Nilikuwa napaka kote Vaseline yangu

Nikinunuaga kopo kubwa basi Mungu anipe nini tena.


Miaka yote nikikuwa napaka hayohayo ..
Duh,nilivyokuja sehemu ya joto ndo mshike mshike huu ukaanza.
Itabidi niachane sasa na Vaseline yangu.


Ushauri Kwa wanawake;
Kwa wadada ,wamama,Mabinti wanaotaka kumaintain hali za shepu za mtindi..then Vaseline is the best.
Ha ha ha
Last paragraph

Niliwahi kuisikia…jamani kazi kweli kweli
 
IMG_6231.jpg

Quick Selfie with my Ancestor....Homo Habilis?? Homo Erectus?? Zinjanthropus??
 
Nilikuwa napaka kote Vaseline yangu

Nikinunuaga kopo kubwa basi Mungu anipe nini tena.


Miaka yote nikikuwa napaka hayohayo ..
Duh,nilivyokuja sehemu ya joto ndo mshike mshike huu ukaanza.
Itabidi niachane sasa na Vaseline yangu.


Ushauri Kwa wanawake;
Kwa wadada ,wamama,Mabinti wanaotaka kumaintain hali za shepu za mtindi..then Vaseline is the best.

Paka tu mwilini usoni acha kabisa..
 
Back
Top Bottom