Selfika na JF: Snap it. Show it

Share tips plz umefanyeje, mimi nakaribia 100
mie sanasana ni mazoezi na diet pia kuna dawa ya masai nilipewa.... nilipunguza sana kula vyakula vya wanga kwa wingi pia Usiku siku nyingine Nilikua nalalia ndizi mbivu tu zinakata sana mafuta siku nyingine mboga za majani sana na Siku nyingine mlo nakula matunda matunda tu matunda mix...
.sema sasa njaa nilikua nasikia kila mara muda mwingine nikisikia njaa nakula chakua kiduchu sana ivoivo!!
 


hili hapa Nkamu.

loweka miguu nkamu fanya hiyo process kwa mwezi utuletee mrejesho.

viatu ni bora zaidi kuliko socks, ila mtu akishindwa viatu avae socks kuliko kutembea peku

socks mimi huwa napenda nikipaka mafuta miguu ibaki na unyevunyevu muda mrefu so inasaidia hata kuondoa sugu za vidole ….hasa sisi wenye miguu mikubwa viatu huwa vinatutoa sugu sana.
 
Ahsante Cha urembo

Naomba ukiwa free tupe darsa sasa la scrub ya mwili mzima. Skin- care routine yako kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…