Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha kweli aisee Mimi wangu bado mdgo bado ananitegemea kwa 100% Kama heslb wake kauli mbiu yangu speed mwisho 140
😀😀😀😀 mie karibuni nianze kupata wajukuuu.. 140 nahisi kama siendeshi gari kama inatambaaa.. naanzaga kuona gari inakimbia ikifikia 210kmh.. uzuri gari zetu hizi kadri unavyo sukuma kisahani inazidi kutulia malaa paap 260 kmh.. ndio maana Tyre zangu huwa zinaishia kuchanika
 
Back
Top Bottom