Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ehh sio mbaya , kufungiwa hivyo kuna raha yakeKuna mtoto wa mtu alinifungia akanipiga stop na simu akaninyang'anya kabisaaa nikashindwa hata kuingia selfika
Yaani hadi nilihisi homa kuwamiss humu ndani
Nilikumiss pia rafiki .








