Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
HahaHivyo hivyo yaan.![]()
Vipi upo poa ?
HahaHivyo hivyo yaan.![]()
Kabisa arudie..
Mr vocha! hilo jina khah!!



kwan hujaona hapo juu kasema ataweka vocha?Mie niko poaaah.Haha
Vipi upo poa ?
Ahaa kumbe!!! Abarikiwe sana kwakweli!!kwan hujaona hapo juu kasema ataweka vocha?
Kwa kweli abarikiwe mnooo,Ahaa kumbe!!! Abarikiwe sana kwakweli!!




nyie mie leo ntakufa kwa kucheka, akuuuuh sitaki khaah.
Mnataka nibadili user name nyie 😅😅Mr vocha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! hilo jina khah!!
yaniiii mie mwenyewe hilo jina la Mr vocha sikubaliani nalo kabisa. Hapana usibadili mkuu baki na hiohio id!Mnataka nibadili user name nyie 😅😅
Ahsante best 😘Ehh sio mbaya , kufungiwa hivyo kuna raha yake
Nilikumiss pia rafiki .
Boss lady kakataa mimi nani nibishe?yaniiii mie mwenyewe hilo jina la Mr vocha sikubaliani nalo kabisa. Hapana usibadili mkuu baki na hiohio id!
Ooh vyema ..Ahsante best
Usisahau kuselfika leo tupate kutabasam na zile lips matata kabisaaa
lips pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Bila kusahau shingo nzuriiii!!!Ooh vyema ..
Leo sura haioneshi ushirikiano best
Ucheke tyuuuu
Hakuna namna
Life is too short
Enjoy!






kwa kweli hata mie naona.yaniiii mie mwenyewe hilo jina la Mr vocha sikubaliani nalo kabisa. Hapana usibadili mkuu baki na hiohio id!





yaan leo nacheka hapa km chizi.Kwani mimi sistahili kua au kuonekana mpigaji boss lady?kweli life kabisa Sio jina zuri kabisa llimekaa kipigaji pigaji sana!
lips pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Bila kusahau shingo nzuriiii!!!
