Nitakuja unipee darasaMjinga ni ndema
Ntakuwa nakupiga msasa wa hii lugha
Tutakuja huko utakakokimbilia tukudabue kwa nguvu na kukurudisha hapa. Kwani ligi za Barabarani unaziweza mjukuu? Ukiachwa kwenye mavumbi si unaweza hata kulia?
Mabaharia huwa wanasema kuwa hainaga makombo. Hata kama walishapita naye so what? Kwani unataka kuoa? Si na wewe unapiga tu na kusepa unawaachia wanaokuja nyuma yako?
It is like a swimming pool. Don't ask who swam before you or who will swim after you. Just swim when it is your turn...and pee in it if you can...and then leave!
Brother unakuta tayari umempa moyo , yaani umempenda, umewekeza nguvu, hela, moyo , na pengine muda. Unakuja kushtuka Baade kidogo kwa signal ndogo ndogo fulani amemlala, fulani amemlala na fulani pia!!!!
Brother najua unajua ukiweka moyo sehemu alafu ukutana na matarajio kinyume!!!
Ila mwanamke aisee mpaka anamaliza safari yake ya maisha anakuwa amepitiwa na wengi sio kidogo.
Umeandika kwa unyonge na hisia sana bro. I feel you lakini ni mambo ya kawaida tu mbona? Unakausha tu na mambo yanaendelea. Ukiona majamaa yaliyomla bado anataniana nayo kiroho kinakuuma ila unajikaza. Ndo uanaume huo! Au yakikushinda unapiga chini na unapumzika mitandao kwa muda
Shouzzzzzzzz vipi uko church? Miss u sanaAmen nakwako pia Msukuma! Have a wonderful and blessed Sunday best!!
Hapana shos leo sijaenda!! Miss you more shos naona selfika dizain imevamiwa!!Shouzzzzzzzz vipi uko church? Miss u sana
Hapana shos leo sijaenda!! Miss you more shos naona selfika dizain imevamiwa!!
Selfika as family we were and are so very happy sema vivuruge sasa!! !!!
Hivi shos wee dini gani kwanza!
Mjukuu amenambia ilikuwa JNIA hapo DSM, alipiga akiwa anakuja kunisalimia.Wapi hiyooo babuuh.
Hahahahahaha achana na kupenda mkuu, mapenzi ni kama vile hayana macho e.yaan unaweka moyo kwa mchepuko kiasi hiko? Basi muoe awe bi mdogo tyuuh. Uwiiiiiiiih
Mjukuu amenambia ilikuwa JNIA hapo DSM, alipiga akiwa anakuja kunisalimia.
Sisi wazee hatuwezi kusafiri umbali mrefu, hivyo tumeamua kujikalia tu nyumbani tukicheza na wajukuu tu
Mchepuko hujamuoa na wala huna hati miliki nae, ila mke mdogo ni halali yako na umemuoa.Hahahahahaha achana na kupenda mkuu, mapenzi ni kama vile hayana macho e.
Hivi tofauti ya mchepuko na mke mdogo ni ipi labda??
Kwanini mjukuu, hapa yenyewe nachati Kwa msaada wa Miwani, bila hivyo hata herufi "che" siioni🤪🤪acha uongo wako wee. Lol
Kumbe kuna muda waongea point eeehMchepuko hujamuoa na wala huna hati miliki nae, ila mke mdogo ni halali yako na umemuoa.
Kwanini mjukuu, hapa yenyewe nachati Kwa msaada wa Miwani, bila hivyo hata herufia "che" siioni
Hebu watuache sie.. binafsi kuselfika kam kauwaaa siachi ng'o wakunichamba anichambe wakunisema aniseme mie sijareeeeeeee🤸🤸🤸🤸🤸!kwa kweli kuna new comers humu ndani. Ni full uvamizi yaan.
Hahahahah watu wa humu ni kuvuruga tyuuh.
Shouzzzzzzzz mie mkristo RC.
Tobaaaaaaah kumbe ndo nadharaurika hivi humu ndani? DuuuhKumbe kuna muda waongea point eeeh