Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hata ningekuwa mimi ningekugandisha kama sio kukubarafu kabisa😬Kanigandisha... sana ile fresh
Hata ningekuwa mimi ningekugandisha kama sio kukubarafu kabisa😬Kanigandisha... sana ile fresh
Unanipa motoo.. usije fanya next week nikaja hapo nione maajabu.. 😀😀 RR unyamaaa sana BrotherThat's my vesre bro it's litwatoto wazuuuri Kama wameumbwa mchana wa leo lazma mmoja apande RR
![]()
Ndio maana wapenzi wangu.. ni wahuduma wa ma bar, mama lishe na wengine kama hao.. sitaki pressure wala masimango kwa hawa wanao jiona warembooo..


let's go for lowkeysKisa nini jamani cha kunigandisha 😢😢😢.. na sie watoto wa wanawake wenzenu..Hata ningekuwa mimi ningekugandisha kama sio kukubarafu kabisa😬
hawanaga shida.. wala noma za ki sister duulet's go for lowkeys
Nimefurahi malkia kama poa 😁😁Poa mpendwa
Uje tu mzee kwa maneno haielezeki namuona na MH dc kajificha angle anakula urefu wa kamba yakeUnanipa motoo.. usije fanya next week nikaja hapo nione maajabu..RR unyamaaa sana Brother

Mwanaume lazima upitie misukosukoKisa nini jamani cha kunigandisha 😢😢😢.. na sie watoto wa wanawake wenzenu..
Misuko kawaida tunavumilia.. ila msifanye kutukomoa 😎😎Mwanaume lazima upitie misukosuko
Unyama sana hapo inaonekana 😀😀.. nitasogea kipande hicho.. haiwezekani nisimuliwe tuUje tu mzee kwa maneno haielezeki namuona na MH dc kajificha angle anakula urefu wa kamba yake![]()
..hata hivyo utakuwa na hamu na mumeoBado sipo ..
Ila naona kabisa shughuli yake si ndogo , ni lifetime commitment hivyo inahitaji uvumilivu wa haja kwa wanawake .
Ukitaka mambo yaende vile unataka inabidi uchague moja kati ya mume au wewe kuondoka hapo .
Nikisoma na Mwanzo 3:6 napata majibu ...
Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”


Nitapimaje kama uko serious 😬Misuko kawaida tunavumilia.. ila msifanye kutukomoa 😎😎
Trakoo muhimuWee babu ni muongo, wako wengi tyuuh wife materials,
Sema myie mnataka wawe na tako lol![]()
Kujua kama nipo serious, ni mda ambao nitautoa kwako ni kipimo tosha sana cha kujua nipo serious au nazingua.. sema mnatunyanyasa sanaaa 😢😢Nitapimaje kama uko serious 😬
Popo kama popoVipo kaka vya hatari au ukiona miyeyusho. Nenda mo town karibu na nasheera hutajuta believe me been there sana

hahaha! hapo inabidi niwe na trip nije mwenyewe.. uzuri na mie popo. mashuhuri.. sema upopo unanoga kama maua ya kuchanua yakiwa yamezagaaa.. 😀😀😀 tunaishi nao humu humu9.8ms squared hahaha tulifosi kujificha kule kumbe machaka yetu ni hapa watu wanaenjoy songi la alikiba