Umo ndoani au unasimuliwa tu na mashosti zako?Ndoa si mchezo



Getini hapaalafu nisikuone sasa nimekaa kwenye sofa hapa 😀😀
Sioni mtu mbona bwanaa ☺️☺️Getini hapa
Afadhali yako umo ndoani unasikilizika kwa sababu una uzoefu wa moja kwa moja. Wengine wamejaza nadharia tupu. Mambo huku field ni tofauti sana








Kweli mzee wangu umeongea point Ila shida kumpata Sasa tunaamua kuwa walevi tuuMalaika Joy apate mamake kutoka Iringa sasa...![]()
😀😀😀😀😀.. dah! Nimeingia Moro mda huu nimechoka kama nyau yani.. imebidi nilale hapa kesho nirudi mjiniHii amapiano mpya ya platnumz NiView attachment 2165462
Tutoe siri za kambi etiMate hebu fafanua bas,![]()
Najiandaa kumpiga msukuma mmoja hapaNimechelewa kuipost
View attachment 2165470
Du pumzika Kaka kule Chaka sio mchezo Mimi ndio kunakucha mpaka alfajiri navorudi nyumbani niwe napishana na daladala.. dah! Nimeingia Moro mda huu nimechoka kama nyau yani.. imebidi nilale hapa kesho nirudi mjini
Nakuelewa sana. Wanawake wapo wengi wa kupelekea moto tu lakini ukianza kutafuta yule mmoja mteule wa kuweka kambi ya kudumu mpaka kifo aisee ni mtihani mgumu sana wa Cambridge cha mtotoKweli mzee wangu umeongea point Ila shida kumpata Sasa tunaamua kuwa walevi tuu



Aisee😀😀😀😀😀.. eeeh rafiki ni wa tumbo moja
Kumbee..kipendhi na wewe uko na info nyingi😁😁🙌🙌Anakudanganya huyooo, yuko zake california,![]()
Naingia naendesha bodabodaSioni mtu mbona bwanaa ☺️☺️
Kwa Msukuma utabondwa mpaka uombe poo. Don't even tryNajiandaa kumpiga msukuma mmoja hapa

😬😬NapingaNaingia naendesha bodaboda
😀😀😀 sikubali kaka lazima twende sawa.. napiga kahawa na redbul.. natoka nitafute chaka la motoo kabisaaa..Du pumzika Kaka kule Chaka sio mchezo Mimi ndio kunakucha mpaka alfajiri navorudi nyumbani niwe napishana na daladala