Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heaven Sent staff wangu miss you 😜😜
He's not a scam He's not a joker always believe
Never lose your faith He's not a joker
He doesn’t play pranks with your life
I know you know
The God we serve is not a joker
He’s not a man that He should lie
When you see a man that is helped by God
You will see His Glory all over him when you see o
When you see a man that is loved by God
You will see His Glory all over him
And then you’ll know the God we serve is not a joker aah aah
And then you’ll know the God we serve is not a scam aah
 
20220325_193627.jpg
 
Amen. .. ama kweli leo ni siku nzuri.. huwa nikikaa polini sehemu iliyojitenga na watu.. basi upako huja inabaki kutafakari uzuri na ukuu wa Mungu
Yeah! Kuna wakati mtu unapata upako mpaka unaona kabisa kuwa rapture ikitokea sasa hivi huwezi kukosa lakini sasa ukitoka tu huko unakutana na binti huyo kachongwa weee halafu hajavaa ki-Abiudi yaani unaona kabisa upako huooo unakuacha!
 
View attachment 2164270
Hapa nadhani naweza kuingia Kitambaa cheupe Kwa Mzee mwenzangu King Kiki 🤪🤪

The weekend is here 🥂
Hayo ndio mambo ndugu yangu,baada ya majukumu ya wiki unapata muda kidogo wa kutuliza mwili na akili.

Sing like no one’s listening, love like you’ve never been hurt, dance like nobody’s watching, and live like it’s heaven on earth.

Nimemis sana kwenda karaoke.
 
Yeah! Kuna wakati mtu unapata upako mpaka unaona kabisa kuwa rapture ikitokea sasa hivi huwezi kukosa lakini sasa ukitoka tu huko unakutana na binti huyo kachongwa weee halafu hajavaa ki-Abiudi yaani unaona kabisa upako huooo unakuacha!
😀😀😀😀😀ila wanasema majaribu ni mtaji..
 
Back
Top Bottom