Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna wale dagaa flani warefu kidogo wana weusi na weupe kidogo af wagumuuuuu.
Hivi ni wa wapi
hao ni dagaa nyasa, ndo hao tyuuh naotumia mie,
Kwetu Songea wamejaa kibao, tena bei rahis, wabichi kwa wakavu..

Kila napotoka home huwa nabebaa had ndoo kubwa, nawala wee had nawamwaga uwiiiih. Na hapo majirani nakuwa nimewagawaia.
Usinikumbushe bhana home lol.
 
Wasalimu bombei (Bombambili), matarawe, mfaranyaki, mahenge (ikulu ndogo) karibu na Posta Bank jirani na CRDB benki


Nimemisi kwenda Majengo au kule HOMSO (Songea refferal hospital)
 
Wasalimu bombei (Bombambili), matarawe, mfaranyaki, mahenge (ikulu ndogo) karibu na Posta Bank jirani na CRDB benki


Nimemisi kwenda Majengo au kule HOMSO (Songea refferal hospital)
kweli Songea unapajua, mie kwa sasa sipo huko.
Nipo huku Jijini, ila kwetu ni Songea, Msamala..

Karibu tena Songea. Hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…