hao ni dagaa nyasa, ndo hao tyuuh naotumia mie,
Kwetu Songea wamejaa kibao, tena bei rahis, wabichi kwa wakavu..
Kila napotoka home huwa nabebaa had ndoo kubwa, nawala wee had nawamwaga uwiiiih. Na hapo majirani nakuwa nimewagawaia.
Usinikumbushe bhana home lol.