Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Chaap 📸
Mwenyeji wetu yupo Tengeru😂Emu usinivuruge 🤣🤣🤣
Ndioooo😊Mapokezi?![]()
Huyo DepalWigelekelo
Noooo haujadandia, pls usifikirie vibaya.
Ulinielewa vzuri na nilihitaji direction
Huyo aliniambia atanipeleka ndio maana nilimtag hapo


Sina taarifa 🚶🏻♀️🚶🏻♀️Mwenyeji wetu yupo Tengeru😂
Angalia yasije tu kukugeukia
Asubuhi yote hii hata maji sijanywa anataka kunilipizia nini tena? 🤣
Ipo sana nyumba za uswazi unapata, we ulizia tu wanauza!Duh ile nitaipata wapi ila nitapambana,Miti ya mhina imeadimika sana
Nyekundu?!! Kama hawa wanoweka rangi? Sijui dear,mi sio mpenzi wa kuweka rangi kabisa!Na nikitaka nywele zangu ziwe nyekundu nifanyeje naomba unishauri
Aah kwa hina sawa,kwanza ni og sio km hayo marangi ya dukaniPaka hinna ile origanal sio zile za dukani unatwanga unapaka kichwani then unasubiri ikauke niliwahi ona mtu anafanya hivi rangi ya nywele ilibadilika


sio kwa kamwili hako...loh loohh!pliiiz I want zile nyama nyama bwana zinaisha sanaa