Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,406
Can't wait, soon patanihusu hapoPale Boma
Uta enjoy sana
Nilikua dar last week nilijutaaa!joto kama mmebanikwaa!afu feni sipendi miyee!Natumia pangaboy 24 hrs feni inazunguka
Ila hewa ya nje pia ina umuhimu..
Feni pekeyake inaniletea kifua
Muda wote najiloweka bafuni..nikija najitupa kitandani napulizwa na feni hadi najisikia vizuri.
Kuna mikoa tumevamia tu..haitufai
Hahahaaa hakika shughuli imempata mwenyew@mahondaw eti shouzzzzzzzz rangi ya sare ya harusi ni ipi?
Rangi 4? Bi harusi na msimamizi, ndugu wa kikeni, ndugu wa kiumeni, marafiki, ndugu, na jamaa.
Kwa Mr nae rangi 4, ila atachagua yeye, simuingilii
Haya shouzzzzz sema rangi hapa.
Umedamshi mnooo dea,






Usiwaze kabisa dia mie tena nitajiachia nitacheza mnooo...msimamizi wangu ni wee apo, jipange unajua show zangu lakini, nataka hiyo siku n matashtiti na kuchachuka noo kupoa yaan.
Mkweee!!!



umekata utumbo?!!!sielewiii!!!shepu it hazi goneli to whea!!!Hahahaaa hakika shughuli imempata mwenyew




siku hiyo mtashangaa mbna. Mambo ni full kunoga.Weeeehh!!!aririririririiiimsimamizi wangu ni wee apo, jipange unajua show zangu lakini, nataka hiyo siku n matashtiti na kuchachuka noo kupoa yaan.
Usije pania ukaja kua mwl kigego tuu!!!siku hiyo mtashangaa mbna. Mambo ni full kunoga.
HuyoFan? Au zinaleta mafua
Sleep wizaut lingarie or na birth suit, joto utalisikia redioni


watu weuweeeeeeeeehUsiwaze kabisa dia mie tena nitajiachia nitacheza mnooo...





Mlongo andaa tyuuh hela ya sare na, michango tyuuh,Weeeehh!!!aririririririiii




Shouzzzzzzzz wee, hilo shape c unigawie mie kidogo bas nawee.





