Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mbona unacheka na wew Ni mtaalamu eeeh
[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]!!!!
 
Natumia pangaboy 24 hrs feni inazunguka
Ila hewa ya nje pia ina umuhimu..
Feni pekeyake inaniletea kifua[emoji19]

Muda wote najiloweka bafuni..nikija najitupa kitandani napulizwa na feni hadi najisikia vizuri.
Kuna mikoa tumevamia tu..haitufai
Nilikua dar last week nilijutaaa!joto kama mmebanikwaa!afu feni sipendi miyee!
 
....
20220324_230639.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
@mahondaw eti shouzzzzzzzz rangi ya sare ya harusi ni ipi?
Rangi 4? Bi harusi na msimamizi, ndugu wa kikeni, ndugu wa kiumeni, marafiki, ndugu, na jamaa.

Kwa Mr nae rangi 4, ila atachagua yeye, simuingilii [emoji23][emoji23][emoji23]

Haya shouzzzzz sema rangi hapa.
Hahahaaa hakika shughuli imempata mwenyew
 
Back
Top Bottom