Selfika na JF: Snap it. Show it

Kumbe ndiyo maana umechangamka hivi. Kalale basi Mtumishi
 
Ewaaaaaah hapa sasa mama malezi umeongea truth, ndo navokupendaga kwenye mada ya hivi huwa unatoa hoja za maana na mashiko. Umenifurahisha mnoo yaan.

mama malezi mbna umenipendelea sana? Mie huyu nipelekwe hotels? Ndinga enyewe nagongea kwa mashost zangu, kwanza hata wa kuwadangia wenyeww nawapata? Inabidi nikaoge baharini nipate hapo wa kunipigia mluzi, sio kwa kukaushiwa huku km kuku wa mdondo lol.


Umetisha sana mama malezi, yaan umepiga mule mule hujaacha kitu. Afu naona km essay ndogo, sijazoea kuona risala fupi hivi japo imebeba mambo mengi na muhimu.

mama malezi.
 
Shida yenu moja hamueleweki. Mkiambiwa kweli mnaishia kumuona mtu boya. Mkidanganywa haoo ndo sasa mnafurahi. Jifanye eti we ndo msema kweli bila viuongo vya hapa na pale uone kama hujafa na ukame wako


Na ulishaona wapi muwindaji anakwenda kuwinda huku akipiga makelele?
 
weka selfie yako hapa.
 
Aah jaman Mungu atusaidie tu
binafsi napenda niambiwe ukweli sababu sifurahii kudate married man kiukwel
 
kijana ktk ubora wako,
Uzee tupa kulee, weuweeeeh
 
Aah jaman Mungu atusaidie tu
binafsi napenda niambiwe ukweli sababu sifurahii kudate married man kiukwel
Ukipata muda nitafute nikupe mbinu (from a man's perspective) jinsi ya kumgundua mwanaume aliyeoa hata ajifanye namna gani.

Nitakuchaji hela kidogo though kwa sababu hizi ni siri za ndani sana. Na hutakaa udanganywe tena!
 
kiukweli sijawahi kuona, bas irudie ya siku hiyo? Afu mie nimejua wee msukuma hivi karibun tyuuh.
Mwanzo nlijua wee n muhaya au mpare. Hahahah
Mhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?

Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.

Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa
 
Mhaya mi kwani nina majivuno ya Kihaya? Umeshaniona najisifia ndinga kali, elimu, pisi kali au kuwa na pesa humu?

Mi Msukuma mshamba mlima nyanya na dengu wa huku Misungwi tu.

Nikumbushe kesho nitakuwekea mjukuu. Picha hazipo kwenye simu kwa sasa
Afu sio kisa hivyo,

Mie ni mentality yangu kuwa kila aliyepo ulaya km n mtanzania, bas ni Kabila hili, muhaya, mpare, mchaga, mnyakyusa.

Afu nimekuja kugundua kumbe niko wrong with, humu JF wengi walio ulaya n wasukuma, hongereni sana.

Picha kesho ntakukumbusha babuuh, usijar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…