cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
Morning dea,Morning Coca




Namtumikia kayafa hapa, nipo kama natoka mgodini hakyanani! Subiri nikioga tu na kuvaa vizuriHahaha naisubira na yako

Nipo poa vipi weweMorning dea,
Uko poaa? Kila nikikuona hapa nafurahi tyuuh.
![]()

Haha sawa rafikiNamtumikia kayafa hapa, nipo kama natoka mgodini hakyanani! Subiri nikioga tu na kuvaa vizuri![]()
Sawa, kalime lamiNaenda shamban now.![]()
DaaaaaaahSaint Anne akija mama mchungaji Heaven Sent mwambie niliselfika tena full
Selfika mkuu
Niliwekwa kikaangoni
Na anne pia yupo
Eti bado likofia
Ila baba JoyEti bado likofia
Eeh fasta basi kabla watu hawajarudiNa anne pia yupo
Na wazee wa kimya kimya