Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Punguzeni manenoo basiiii
Wekeni mapicha hata ya mokasi
Pale unapoambiwa picha ya Atoto ishafutwa
IMG_20191029_184708.jpeg
 
Hapa ndipo mnaponiacha hoi WaTZ.

Hivi unafiki mtaacha lini?

Mtu kama huyu yupo rough rough mchafu mchafu kwa nini asiambiwe ukweli ili abadilike?

Usikute hapo boxer ina zaidi ya siku mbili haijabadilishwa.
Haina shida hata kama nimevaa wiki. Btw as man kila kitu sio lazima uongee mbele za watu. Au unadhani ni wewe ndio una macho kuliko wengine
 
Back
Top Bottom