Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555





Hata hili ni gumu hatari tena kwa ninavyoona hilo unalicheza ndio rahisi zaidi. Yaani vipe unavyomyumbisha nawe unayumba kabisa... Apo
Ukosiriaz hutak mtu akuguse wala kukuongeleshasasa mkuu unatafuta urahisi kwente games?? Ule ugumu wake ndiyo utamu wenyewe!!
yaani ukitilt simu kumpeleka runner pembeni na wewe unaenda hadi unaonekana kama tonji fulani hivi

