Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata hili ni gumu hatari tena kwa ninavyoona hilo unalicheza ndio rahisi zaidi. Yaani vipe unavyomyumbisha nawe unayumba kabisa... Apo
sasa mkuu unatafuta urahisi kwente games?? Ule ugumu wake ndiyo utamu wenyewe!!

yaani ukitilt simu kumpeleka runner pembeni na wewe unaenda hadi unaonekana kama tonji fulani hivi
Ukosiriaz hutak mtu akuguse wala kukuongelesha
 
Utasikia nitakununulia Boeing wakati hata Bombardier tu commercial hajawahi kupanda
Ukipenda unaweza toa qhadi za kipumbavu ambazo hata ww siku ukikaa ukatulia lazima ujicheke..
FB_IMG_15722124528546734.jpeg
 
Yaani acha tu mkuu nakumbuka tukiwa uni kuna watu walikuwa wanacheza class yaani lec anapiga pindi huku mtu yuko busy anayumba kama teja basi watu wakimstukia wanaanza kumcheka hadi lec anageuka anadhani mnamcheka yeye basi anamind kinoma
Hata hili ni gumu hatari tena kwa ninavyoona hilo unalicheza ndio rahisi zaidi. Yaani vipe unavyomyumbisha nawe unayumba kabisa... Apo Ukosiriaz hutak mtu akuguse wala kukuongelesha
 
Yaani acha tu mkuu nakumbuka tukiwa uni kuna watu walikuwa wanacheza class yaani lec anapiga pindi huku mtu yuko busy anayumba kama teja basi watu wakimstukia wanaanza kumcheka hadi lec anageuka anadhani mnamcheka yeye basi anamind kinoma
Sie wengi wakiwa kwenye Computer Lab ndio walikua wanastream online games. Lec anarusha slides kumbe wazee wanakomaa na GTA qu Euro track
 
Back
Top Bottom