Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Kipara cha eneo gani?Nina kipara
Kipara cha eneo gani?Nina kipara
Hizo earphone ni zako?Hello Tanzania 🖐View attachment 1247717 jamani muweke picha hata za vikombe Sakayo
Unafanana na umri wako kabisaa jamani



yaani nilihangaika kukuna kichwa nikapatia jibu na mwanzo akakubali kabisa kuwa nilipata ila nilivyomuambia enhe mzigo vipi akabadili gia angani eti nimekosa ila jana akasema atanitumia leo sasa ndiyo niko nasubiri hapa


Umeongea kwa uchungu mnoo jamani
Hahaha we jikane tu.....
Hapana ni zako 😂Hizo earphone ni zako?
😆😆😆 Nilijua tu...bahati yako umekiri mwenyeweHapana ni zako 😂
Asante dearkaribu
NilishakuambiaMimi huyu kweli jamani?? Sasa hebu niambie nina miaka mingapi!!
Pole dearyaani nilihangaika kukuna kichwa nikapatia jibu na mwanzo akakubali kabisa kuwa nilipata ila nilivyomuambia enhe mzigo vipi akabadili gia angani eti nimekosa ila jana akasema atanitumia leo sasa ndiyo niko nasubiri hapa
![]()
23?? Huo ni umri wa Saint anne siyo mimi!!







Haya subiriHahaha hata 50 mamiii...wew tupia tu