Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jirani yangu hapa kavuta jipya 0 KM jeusi ananinyanyasa nalo hatari. Yaani KaToyota FJ Cruiser kangu nakaona kama ka torori fulani hivi [emoji51][emoji51][emoji51]
😀😀😀.. hapo inabidi kuwa mpole tu na chombo chako cha usafiri.. siku ndoto ikitimia nawe unatimiza ndoto yako na RR Auto sijui RR SVR
 
Shombe shombe hiyo kutoka Tanga yalikozaliwa mapenzi. Waja leo waondoka leo? Mweh! Msukuma ukikwama huko ndo imetoka hiyo. Ashukuriwe Allah! [emoji91][emoji91][emoji91]
Hahahaha!!!point 5 huyoo na mnavopenda weupe kuna mmoja kapita Jana napoishi kuulizia vyumba ktk story sasa Dada huo weupe Mme?!mweeh nkamuuliza unajawaju weupe wewee!Sijui mliona nini mangosha kwenye rangi
 
Back
Top Bottom