cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Msomali wee kumbe,








Hiyo picha kweli sio ngenihebu usinifanishe nae yulee, awe na urefu huu utambe bas.
Niache kwan khaaah wee. Hivi unajua nimecheka sana hapa uwiii.
Shombe shombe hiyo kutoka Tanga yalikozaliwa mapenzi. Waja leo waondoka leo? Mweh! Msukuma ukikwama huko ndo imetoka hiyo. Ashukuriwe Allah!



Nafuta watalalamika tena imekaa sana
Na mwendazakeYamenyonyesha hayo huwoni??
Sijui kwanini watu hawaaminigi, kuna Tomaso mmoja huko alishapiga mpk vdeo call
Nyie nna katoto
Niliachiwa legacy![]()
( joke😀😀😀.. hapo inabidi kuwa mpole tu na chombo chako cha usafiri.. siku ndoto ikitimia nawe unatimiza ndoto yako na RR Auto sijui RR SVRJirani yangu hapa kavuta jipya 0 KM jeusi ananinyanyasa nalo hatari. Yaani KaToyota FJ Cruiser kangu nakaona kama ka torori fulani hivi![]()
Wangoni akili zenu mnazijua wenyewe. Kutoka koote huko destination Namtumbobabuuuh wee una nini lakini jaman? Khaaah.




🤣😂😂😂😂😂😂 na baba mtoto banaNa mwendazake( joke
Ohooo kuna gari unafika mahala upo hoi kama ulikali bench.. sisemi uongo 😂😂daahh!dharau hizii mwee
Hahahaha!!!point 5 huyoo na mnavopenda weupe kuna mmoja kapita Jana napoishi kuulizia vyumba ktk story sasa Dada huo weupe Mme?!mweeh nkamuuliza unajawaju weupe wewee!Sijui mliona nini mangosha kwenye rangiShombe shombe hiyo kutoka Tanga yalikozaliwa mapenzi. Waja leo waondoka leo? Mweh! Msukuma ukikwama huko ndo imetoka hiyo. Ashukuriwe Allah!![]()
Jana na Leo boss Mjep
Zawadi nzuri Sana na Mimi niliachiwa legacyna baba mtoto bana

Kabisaa shem



Mambo mazuri yanakuja.. InshaalahView attachment 2161063
Muwe na usiku mwema,Mungu akaweke ulinzi atuamshe salama inshaalah🙏🏽
imeisha hiyoooh.