Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,155
Kumbe 😂😂😂Usijali mama tuko wengi
Kumbe 😂😂😂Usijali mama tuko wengi



kumbe na wewe ni mmoja wa wale ambao mkidata huwa mnaahidi hadi ndege kumbe tuktuk tu mtihani achilia mbali japo kabrevis (kidding)
Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....
Btw kadada kazuri mno.
Can't afford kwa sasa kukutumia![]()
Usijali mama tuko wengi
Labda ungesema mbadilishane na tafadhali nipigieMsg 2,000,142.... Vodacom naomba tubadilishane hizi msg na bundle.. Najua cash hamuwezi nipa... Ila kwa bundle hamshindwiView attachment 1248014


Mko wawili tuUsijali mama tuko wengi
Hili gemu nililifutilia mbali..Napenda hili..
View attachment 1248097
kumbe na wewe ni mmoja wa wale ambao mkidata huwa mnaahidi hadi ndege kumbe tuktuk tu mtihani achilia mbali japo kabrevis (kidding)



Wacha tu wakati mfukon hamna kituDooh mkuu mbona kama umeruka majivu ukakanyaga mkaa wa moto
Haka kakipande nakapenda mno hasa huo wimbo wa mwisho.. kesho nikiwa nimetulia na pc nitakuatumia audio zote... kwa simu nimeashindwa kabisa



mbona watu wengi tu humu tayari wanajua kwamba na wewe ni 'kifaranga'Mko wawili tu
Yeah mie mwenyewe naipenda sana hiyo reprise, usijali mkuu nilijtahidi kuzitafuta hadi nikazipata nikazidownload zote.



sasa mkuu unatafuta urahisi kwente games?? Ule ugumu wake ndiyo utamu wenyewe!!


yaani ukitilt simu kumpeleka runner pembeni na wewe unaenda hadi unaonekana kama tonji fulani hivi
Hili naona ni rahisi afu hamna uchafu uchafu kama hiyo TR2
Aiseee 😂😂 🤦🏽♂️Ukaazima na mdada wa kupigia picha. Na pose ukampa ' eti wape mgongo
Duuuh😆😆Msg 2,000,142.... Vodacom naomba tubadilishane hizi msg na bundle.. Najua cash hamuwezi nipa... Ila kwa bundle hamshindwiView attachment 1248014