Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,679
- 208,842
Kumbe 😂😂😂Usijali mama tuko wengi
Kumbe 😂😂😂Usijali mama tuko wengi
Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....
Btw kadada kazuri mno.
Can't afford kwa sasa kukutumia[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Semeni su nijiweke hadharani yaani sura
Usijali mama tuko wengi
Labda ungesema mbadilishane na tafadhali nipigie[emoji23][emoji23]Msg 2,000,142.... Vodacom naomba tubadilishane hizi msg na bundle.. Najua cash hamuwezi nipa... Ila kwa bundle hamshindwiView attachment 1248014
Mko wawili tuUsijali mama tuko wengi
Hili gemu nililifutilia mbali..Napenda hili..
View attachment 1248097
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wacha tu wakati mfukon hamna kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe na wewe ni mmoja wa wale ambao mkidata huwa mnaahidi hadi ndege kumbe tuktuk tu mtihani achilia mbali japo kabrevis (kidding)
Dooh mkuu mbona kama umeruka majivu ukakanyaga mkaa wa moto
Kumbe [emoji23][emoji23][emoji23]
Haka kakipande nakapenda mno hasa huo wimbo wa mwisho.. kesho nikiwa nimetulia na pc nitakuatumia audio zote... kwa simu nimeashindwa kabisa
Mko wawili tu
Yeah mie mwenyewe naipenda sana hiyo reprise, usijali mkuu nilijtahidi kuzitafuta hadi nikazipata nikazidownload zote.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wacha tu wakati mfukon hamna kituView attachment 1248103
Hili naona ni rahisi afu hamna uchafu uchafu kama hiyo TR2
Aiseee 😂😂 🤦🏽♂️Ukaazima na mdada wa kupigia picha. Na pose ukampa ' eti wape mgongo
Duuuh😆😆Msg 2,000,142.... Vodacom naomba tubadilishane hizi msg na bundle.. Najua cash hamuwezi nipa... Ila kwa bundle hamshindwiView attachment 1248014