Watu wanaukodolea majicho hatariNimegundua huu uzi unafuatiliwa na wengi sana kimya kimya![]()

Napenda sana mwanamke mwenye rasta. Hata akiwa mbaya ila ana rasta mie hoi...Myb kwakuwa ndio asili yao 'chugamaica
Me mama angu anazipenda na alishaniambiaga niweke nikakataa


Napenda sana mwanamke mwenye rasta. Hata akiwa mbaya ila ana rasta mie hoi...Myb kwakuwa ndio asili yao 'chugamaica
Me mama angu anazipenda na alishaniambiaga niweke nikakataa


Hivi wewe sio wa ef2?![]()
Watu wanaukodolea majicho hatari![]()
Napenda sana mwanamke mwenye rasta. Hata akiwa mbaya ila ana rasta mie hoi...![]()
SuuuuSemeni su nijiweke hadharani yaani sura
Suka mkuu. Nitalipa hata m20 kwa rasta hyo.Duuh ngoja tujitahidi tusuke rasta
Hivi mkuu umemgundua huyo kwenye avatar yangu
Sio poa.....Una mguu mchafu
Una mguu mchafu
ShiiiiiiiiiiDepal alisema yeye ni wa 97
Suka mkuu. Nitalipa hata m20 kwa rasta hyo.
Huyo sio Auli'i Cravalho??
Shiiiiiiiiii
Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....Mkuu unaonaje ukanitumia hiyo m20 nikasuke
Oohh kumbe umemfuatilia nilitaka niweke na dau kabisa kuwa ukipata nakupa hela aisee sijui ningekuwa mgeni wa nani


Ungeaibika maana mm ni mdau mzuri wa muvi.. kama nimependa muvi basi namfuatilia mpaka director..script writter..producer hadi stunts....Mkuu unaonaje ukanitumia hiyo m20 nikasuke
Oohh kumbe umemfuatilia nilitaka niweke na dau kabisa kuwa ukipata nakupa hela aisee sijui ningekuwa mgeni wa nani

