cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
We dogo hii ID tangu 2014 siwezi badili, niuweniiiii......
Hao ni macharii wa michongo






mbavu zangu mie lol.We dogo hii ID tangu 2014 siwezi badili, niuweniiiii......
Hao ni macharii wa michongo






mbavu zangu mie lol.Wacha wajae watu wanavutiwaWatu wana I'd multiple kibao humu, sijui hata wanawaza nn yaan.
![]()
JF ukiijua haikusumbui yaanMbona nimeona anauliza maana ya reply
Huyu tupo naye hapa![]()




SelfikaWanavutiwa na nn sasa mlongo?![]()
Ooh yes haisumbui kabisaJF ukiijua haikusumbui yaan
![]()
Weuweeeeeeeh









Kivipi wewe Kaka ?Ile ya kitenge
Umetupiga![]()
Nakuangalia tu kipenzinn umeona?
Weuweeeeeeeh
Mlongo nimependa suruali yako,
Umenoga mnooo![]()





acha zakoBina jamani sijaona pichaSelfika
We tema mate chini una ya maana mengi
Ningekuwa wa kiume sijui kwa kweli
Sema hakijaharibika kitu...hizi sifa huwaga namsifia Pep hadi anaimba Hallelujah!

Na wewe uselfike wakwetuSelfika
Aisee nimeikosa hiiWeuweeeeeeeh
Mlongo nimependa suruali yako,
Umenoga mnooo![]()