hahahaaa. Anne wee chizi ujue 🤣We tema mate chini una ya maana mengi[emoji23]
Ningekuwa wa kiume sijui kwa kweli[emoji1787]
Sema hakijaharibika kitu...hizi sifa huwaga namsifia Pep hadi anaimba Hallelujah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana
Wizi hawakosi mbinu wakiamua lao
Pole sana inaumiza mnoo!anaenda kuvitupa tu hvyo pahala baasi maana hana faida navyoAngechukua vyote aniachie tu vitambulisho vyangu.
Lilivyo lijinga limebeba ..havina faida yoyote kwake.
[emoji23][emoji23]Hahha itakuwa [emoji28]
Yani hadi nijibane ndo kiingie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 44 nipo hapa mie.Duuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahaaaHahahha unamaanisha ndiyo [emoji28]
Chaaaaah![emoji23]Ndio maana kumbe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usinikumbushe Sakina [emoji1787] mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake?
Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha..
Ooh hapo viatu vyako vinakuwa salamaDuuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono
Watu wamejificha[emoji1787][emoji1787]watoto wa kike ni matatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yaanshos Anne Akili zake anazijua mwenyewe!
Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono
Watu wamejificha[emoji1787][emoji1787]watoto wa kike ni matatizo.
Nyama zipo chini eeh [emoji28][emoji28]Hahaaa
Namaanisha tuendelee kunywa mtori.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]hahahaaa. Anne wee chizi ujue [emoji1787]
Ah wapi mimi napambana naye kishujaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo.
Ewaa..Nyama zipo chini eeh [emoji28][emoji28]
Tungetoka wote tungemkamata..Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa!
Baadae mida ya wangaHebu selfika nawee. [emoji23][emoji23]
Mlinzi my foot[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie huwa naogopa sana wezi. Nashukuru napoishi kuna mlinzi, huwa tunamlipa hela kwa mwezi.
Tena na kitu kizito mkuuMmmmmh!!...Sidhani
Hapa umetupiga mkuu