Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Mar 22, 2022 #165,561 Saint Anne said: We tema mate chini una ya maana mengi Ningekuwa wa kiume sijui kwa kweli Sema hakijaharibika kitu...hizi sifa huwaga namsifia Pep hadi anaimba Hallelujah! Click to expand... hahahaaa. Anne wee chizi ujue 🤣
Saint Anne said: We tema mate chini una ya maana mengi Ningekuwa wa kiume sijui kwa kweli Sema hakijaharibika kitu...hizi sifa huwaga namsifia Pep hadi anaimba Hallelujah! Click to expand... hahahaaa. Anne wee chizi ujue 🤣
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,562 Depal said: pole sana Wizi hawakosi mbinu wakiamua lao Click to expand... Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo.
Depal said: pole sana Wizi hawakosi mbinu wakiamua lao Click to expand... Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo.
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 22, 2022 #165,563 Saint Anne said: Angechukua vyote aniachie tu vitambulisho vyangu. Lilivyo lijinga limebeba ..havina faida yoyote kwake. Click to expand... Pole sana inaumiza mnoo!anaenda kuvitupa tu hvyo pahala baasi maana hana faida navyo
Saint Anne said: Angechukua vyote aniachie tu vitambulisho vyangu. Lilivyo lijinga limebeba ..havina faida yoyote kwake. Click to expand... Pole sana inaumiza mnoo!anaenda kuvitupa tu hvyo pahala baasi maana hana faida navyo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,564 Tinsley said: Hahha itakuwa Yani hadi nijibane ndo kiingie Click to expand...
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 Mar 22, 2022 #165,565 Heaven Sent said: Duuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu Click to expand... 44 nipo hapa mie.
Heaven Sent said: Duuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu Click to expand... 44 nipo hapa mie.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Mar 22, 2022 #165,566 shos Anne Akili zake anazijua mwenyewe! cocastic said: Click to expand...
Brian Spilner JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 2,034 Reaction score 6,038 Mar 22, 2022 #165,567 Tinsley said: Hahahha unamaanisha ndiyo Click to expand... Hahaaa Namaanisha tuendelee kunywa mtori.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,568 Depal said: Ndio maana kumbe Usinikumbushe Sakina mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake? Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha.. Click to expand... Chaaaaah! Alichana mkeka Ufunguo? Mwizi akiiba funguo umekwisha..ndio ile mbuzi amefia kwa muuza bucha
Depal said: Ndio maana kumbe Usinikumbushe Sakina mpaka nilizoea kuibiwa. Siku hiyo sasa nikaibiwa mpk funguo.. nikasema huyu mbuzi anataka kunizoea, amechukua funguo means nikiwa sipo awe anaingia kama kwake? Nilisepa mwendo wa ngiri hata kodi haijaisha.. Click to expand... Chaaaaah! Alichana mkeka Ufunguo? Mwizi akiiba funguo umekwisha..ndio ile mbuzi amefia kwa muuza bucha
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 22, 2022 #165,569 Heaven Sent said: Duuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu Click to expand... Ooh hapo viatu vyako vinakuwa salama Unaona viatu vya mtumba vizuri ila ukija kwenye kujaribu sasa ngoma haitoshi , huwa naumia . Mjini hapo Morogoro wanaweka viatu vizuri aisee
Heaven Sent said: Duuh mguu unaonekana mdogo. Mimi kwetu ndiyo nina guu kubwa; nashukuru hakuna wa kuniibia tuviatu twangu Click to expand... Ooh hapo viatu vyako vinakuwa salama Unaona viatu vya mtumba vizuri ila ukija kwenye kujaribu sasa ngoma haitoshi , huwa naumia . Mjini hapo Morogoro wanaweka viatu vizuri aisee
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 Mar 22, 2022 #165,570 Saint Anne said: Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo. Click to expand... ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo.
Saint Anne said: Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo. Click to expand... ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo.
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,308 Mar 22, 2022 #165,571 mahondaw said: shos Anne Akili zake anazijua mwenyewe! Click to expand... kwa kweli yaan
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Mar 22, 2022 #165,572 Saint Anne said: Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo. Click to expand... Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa!
Saint Anne said: Sasa nawaambia twendeni tuwafukuzie nje kabla hawajafika mbali..hakuna anayeniunga mkono Watu wamejifichawatoto wa kike ni matatizo. Click to expand... Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa!
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Mar 22, 2022 #165,573 Brian Spilner said: Hahaaa Namaanisha tuendelee kunywa mtori. Click to expand... Nyama zipo chini eeh
Brian Spilner said: Hahaaa Namaanisha tuendelee kunywa mtori. Click to expand... Nyama zipo chini eeh
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,574 mahondaw said: hahahaaa. Anne wee chizi ujue Click to expand... Boss ledi wewe ni mtu na nusu..huamini?? Hadi mitambo ya kina Melo inatikisika Shepu lako la kibabe linatikisa hadi simu
mahondaw said: hahahaaa. Anne wee chizi ujue Click to expand... Boss ledi wewe ni mtu na nusu..huamini?? Hadi mitambo ya kina Melo inatikisika Shepu lako la kibabe linatikisa hadi simu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,575 cocastic said: ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo. Click to expand... Ah wapi mimi napambana naye kishujaa
cocastic said: ila wee bhana, usikurupuke kuwafukuza wezi wanaweza kuku ua, wanakua tayar kwa lolote, kujihami ni muhimu mnooo. Click to expand... Ah wapi mimi napambana naye kishujaa
Brian Spilner JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 2,034 Reaction score 6,038 Mar 22, 2022 #165,576 Tinsley said: Nyama zipo chini eeh Click to expand... Ewaa.. Endelea kuleta vituu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,825 Reaction score 233,256 Mar 22, 2022 #165,577 reymage said: Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa! Click to expand... Tungetoka wote tungemkamata.. Fensi ipo juu mno afu ilikuwa saa 11 alfajiri.
reymage said: Wee!ujasiri unaupata wapi?!!muhimu uhai Mali zinatafutwa! Click to expand... Tungetoka wote tungemkamata.. Fensi ipo juu mno afu ilikuwa saa 11 alfajiri.
Mawardat JF-Expert Member Joined Apr 27, 2021 Posts 26,081 Reaction score 137,332 Mar 22, 2022 #165,578 cocastic said: Hebu selfika nawee. Click to expand... Baadae mida ya wanga
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,285 Mar 22, 2022 #165,579 cocastic said: mie huwa naogopa sana wezi. Nashukuru napoishi kuna mlinzi, huwa tunamlipa hela kwa mwezi. Click to expand... Mlinzi my foot 🤣🤣🤣 haya mambo ni usiombe. Ofisini kuna mlinzi tena wa kampuni, kuna cctv na bado wajuba walituingilia. Huo wizi uliachaga rumors sana
cocastic said: mie huwa naogopa sana wezi. Nashukuru napoishi kuna mlinzi, huwa tunamlipa hela kwa mwezi. Click to expand... Mlinzi my foot 🤣🤣🤣 haya mambo ni usiombe. Ofisini kuna mlinzi tena wa kampuni, kuna cctv na bado wajuba walituingilia. Huo wizi uliachaga rumors sana
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,881 Mar 22, 2022 #165,580 T 1990 ELY said: Mmmmmh!!...Sidhani Hapa umetupiga mkuu Click to expand... Tena na kitu kizito mkuu