Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Usinichoshe mimi 🤣🤣🤣🤣Yaani kijani Cha jeshi nichanganye na njano??
Usinichoshe mimi 🤣🤣🤣🤣Yaani kijani Cha jeshi nichanganye na njano??
Mama Mchungaji katika ubora wakeMuite huyo Anne. Usiombe umix na yellow uuuuuuuuuuuuuuuuhView attachment 2159472
Sent using Jamii Forums mobile app








Mwambie chawa wakoNa yellow inanoga mnooo![]()
Kumbe upo? Siku hizi sifuti picha 🤣🤣🤣🤣🤣Mama Mchungaji katika ubora wake![]()
Boss ledi ile gauni yako ya asubuhi ilivyokutoa afu ina rangi nzuriNa yellow inanoga mnooo![]()
Kama jani la mgomba hivi lakini lenyewe langaa hiviNdio rangi Gani hiyo?
Ushamba wangu mzigo![]()
HainogiMwambie chawa wako

Hata njano mbichi sawa tu
Si bora nivae njano kavu
Ngoja tuone hii kama itamaliza dakika hata moja. Nilikuwa nataka kuondoka machale tu yamenicheza kiaina. God is good!Kumbe upo? Siku hizi sifuti picha![]()
Duh sasa hiyo ya kung'aa inawaka,na njano nayo iwakeKama jani la mgomba hivi lakini lenyewe langaa hivi
View attachment 2159482
Rangi nzuri hatari .Muite huyo Anne. Usiombe umix na yellow uuuuuuuuuuuuuuuuhView attachment 2159472
Sent using Jamii Forums mobile app








Hahhaha hapo upate tu fundi mzuri la sivyo utabaki kuwa christmas treeDuh sasa hiyo ya kung'aa inawaka,na njano nayo iwake
Aisee ntakuwa kama mzimu.

.EwaaaSmart911 aliniweka bize mdogo wangu ndio nalala saivi... sijui kama nitafanya hata hayo mazoezi nimechokaje na mishe za harusi!!![]()




















Umeanza..Ngoja tuone hii kama itamaliza dakika hata moja. Nilikuwa nataka kuondoka machale tu yamenicheza kiaina. God is good!
Baba Mchungaji ana bahati!
Mshono tayari ila njano na kijani hapana.Hahhaha hapo upate tu fundi mzuri la sivyo utabaki kuwa christmas tree.
Mwambie dada HS akutafutie mshono amaizing .
Nina picha hapa ila sijisikii kumuonyeshaHahhaha hapo upate tu fundi mzuri la sivyo utabaki kuwa christmas tree.
Mwambie dada HS akutafutie mshono amaizing .