Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Hio figure sitaki kuamini hakuna sponsa.










!! Mbavu zangu hukuu khakha!!
Hio figure sitaki kuamini hakuna sponsa.










!! Hebu nielekeze kwenu nikasalimie nawee,Safi kokastiki
Ununue hata maji
Uongeze uchumi hapo![]()




Mwee 6 kikeni ni super tall ujue
Tena sijui nijipe 6 kabisa
Sasa wewe unaona 5.7 mfupi wakati mtaani tumekaa na Watu Wana 4![]()
Bosi ledi Wakuja tu!
Boss ledi tunataka ukae kae huko juu mawinguni
Wewe ni mtu na nusu
Wee Anne nitake radhi nishastaafu huko ujue!!Jitose
Mwenye nguvu ndiye anayemiliki.
Ile figure ya kimataifa

! Nalea wajukuu na kina mamkubwa shangazi tu saivi sitaki mambo mengi 
Mwee 6 kikeni ni super tall ujue
Khaaa nne jamani wacha uongo
Myb 5.0, 5.1, 5.2, 5.3, 5.4
Tumejaaaa sana hapo
Ila yule alikuwa 6+ banana nilikuwa namfikia kifuani
![]()






wacha wee.Hebu tuone tuambie vizuri huyo wa 6+Mwee 6 kikeni ni super tall ujue
Khaaa nne jamani wacha uongo
Myb 5.0, 5.1, 5.2, 5.3, 5.4
Tumejaaaa sana hapo
Ila yule alikuwa 6+ banana nilikuwa namfikia kifuani
![]()

Hebu tuone tuambie vizuri huyo wa 6+
Umekatishia njiani.
Wengi wapo 4 inabidi tuongee nao tukiwa tumeinama









Umbea tu 🤣wacha wee.
Kile kiuno kama nyigu siyo cha kulea wajukuuWee Anne nitake radhi nishastaafu huko ujue!!! Nalea wajukuu tu saivi sitaki mambo mengi
![]()
Hebu nielekeze kwenu nikasalimie nawee,![]()
Ah wapi weeBosi ledi Wakuja tu!
Huyu ni boss mkubwaWeuweeeeeeeh shouzzzzzzzz ake hapo sasa, naszubiri vocha woiiiiih
Ndio kubwaa!Kweli?![]()
Boss ledi mahondaw inaitwa huku ukazunguke hewani na BoeingSaint Anne muulize basi kama yupo singo, mi nikimuuliza naona anacheka tu, sijui ananicheka..
Utajua haujuiYaani kwamba?
Hamnijui nyie![]()
Home ndio hapo
Kulia kwako kwa mbele
Kuna zizi kubwa na kiji duka cha tembe



bas sawa, ngosha km ngosha.Nakubaliiiiiiii mie.Huyu ni boss mkubwa
Hili halina ubishi