Stuli ya nyumbani hiyo.Hapo
Ni the kitchen![]()
Ewaaa safi sana 😊😊
Watu ndani ya
wacha wee, 


Dogo mimi ni mrefu, achana na mambo yaUmenizidi kidogo.
Ila tuvidole twako tuna kucha nzuuri.
Mimi kuna gu ukucha gubaya huwaga nakosa Hadi confidence ya kuachia mavidole![]()
japo na wewe ni mrefuEeeh kabisa bossUzuri naja hapo nitaviona basi eeh![]()
Kwa vile vidole nakubali umenizidi urefu

Sasa Mimi navyopenda huo ungongoti. Hata kiatu chako naona unavaa size ya kawaida tu; Mimi 41Kwa vile vidole nakubali umenizidi urefu
Mimi viatu virefu nimeachana navyo
Nikivaa nakuwa ngongoti![]()
Hutu tukorosho tutaaamu
Wapi hapo mama mchungaji, mbona sipaonii?
Wajukuu zangu wameamua kunipeleka Kliniki ya Macho kwa 🛫Watu ndani yawacha wee,
![]()
Kuna sehemu zinauzwa kumbe zenye hiyo chata?Sana, ngoja nimwombe Lizzy aninunulie kwenye Supermarket yao![]()
Sasa Mimi navyopenda huo ungongoti. Hata kiatu chako naona unavaa size ya kawaida tu; Mimi 41

Boss lediiii mjengoniNimewamis sana humu!








