Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana mtakua mnamkosea kabisa shos! Mjep aheshimiwe tafwazali wee huo moyo alionao sio wa nchi hii ujue! wengine vocha za jero tu wanamute mazima kama hawajaona maombiya vocha nashauri jina lenye heshima zake pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Heheheheh shouzzzzzzzz kasema mie nani nipinge sasa? Tusaidiane kuchagua jina.
Au hili
"Le Boss "
 
Mimi ndiyo napenda hizo hekaheka; Zumaridi kaniharibu
Dah mimi naonaga kama pastor ananikata jicho mwenyewe yaani

Mabenchi flani hivi ya makanisa yetu huku Roman Kkkt na kmt..kuna namna yamekaa yaani mtu anaweza kusimamia kwenye kimbao akainuka kidogo.
Unakuta watu wamsimamia kile kimbao lakini wapi,wanabembea hata begani hawanifikii.
 
Back
Top Bottom