cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
😀😀😀😀 wewe ni special one sweetheart number one queen lazima uendena kabisa na hadhi yakoo...🤣🤣🤣🤣 nakuelewa my mr 5G
Ile Huawei niliiangaliaga looh bei yake nikija mtaani napata vits namba C
Ila Extrovert akikusikia unaita hivyo oppo ooh haya.
Kuna ka mshono kengine kapo simpo mazee very simpo
Ebu tuoneeKuna ka mshono kengine kapo simpo mazee very simpo
Nope labda ni muoga tu, not a darer; white and red make a statement. Au sijui tu alichanganyaje hizo rangiHuu mshono wa hivyo alishonaga rafk angu, alikosea rangi, eti nyeupe kwa kwa nyekundu khaaaah, kaishia kuweka kwenye begi tyuuh.![]()
Imeisha hiyo..tuanzie mwanza kwanza.Ewaaa.. 😀😀😀 safi kabisa.. tuje tutembeleane unione nilivyo mwembambaaaa kama ubua..
Wizo umefanikiwa kurudisha?!!Kuna ka mshono kengine kapo simpo mazee very simpo
Fashionasitaa huyu sasa!uko vzr mama mchungaji!Nope labda ni muoga tu, not a darer; white and red make a statement. Au sijui tu alichanganyaje hizo rangi
Screenshot mamiloo
Hapa ndio umenena neno ambalo nilikuwa nalisubiri mdaaaa woote... 😊😊😊😊Imeisha hiyo..tuanzie mwanza kwanza.
Tufanye liroad trip la kibabe mno..
Imekaaje hiyo
Sawa dakika sifuri nauweka hapaEbu tuonee
Nope labda ni muoga tu, not a darer; white and red make a statement. Au sijui tu alichanganyaje hizo rangi




walikua wanamcheka mnoo wenzie, mie nilikua namuambia mbna iko vizuri, ila wengi wakawa wanamsema, kaweka kwa begi, ila fundi alijua kushona aseee.Fashionasitaa huyu sasa!uko vzr mama mchungaji!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app






Binamu huu ulimwengu unavyoenda; hakuna color isiyo-match. Mtu mmoja tu anathubutu kuvaa; haooo tumeshaiga. Imagine kuchanganya red na pink; zamani ungechekwa ila sasa hivi aaah unatokelezea hatariFashionasitaa huyu sasa!uko vzr mama mchungaji!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Mwambie anitumie mimiwalikua wanamcheka mnoo wenzie, mie nilikua namuambia mbna iko vizuri, ila wengi wakawa wanamsema, kaweka kwa begi, ila fundi alijua kushona aseee.



Uwe na damu ya nguo ndo utanogaa!!!Binamu huu ulimwengu unavyoenda; hakuna color isiyo-match. Mtu mmoja tu anathubutu kuvaa; haooo tumeshaiga. Imagine kuchanganya red na pink; zamani ungechekwa ila sasa hivi aaah unatokelezea hatari