Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekupata Yesu
Nimekupata Bwana
Sitahitaji Tena Bwana
Ndiwe hitaji langu
Ngome yangu na mwamba
Tegemeo langu katika hali zote

Jaza moyo wangu
Upendo nikupende


Nataka nitembee katika upendo wa dhati
Upendo ule ule wa kweli upendo usiobagua
Upendo uletao umoja,furaha na amani..
Upendo wa kimungu pekee ulio Bora


Wapenzi wa dunia
Wengi wadanganyifu
Mnapo katika hali nzuri mko wote
Lakini
Katika matatizo
Wote wanikimbia
Wewe nimekupata nitakushikilia

Nataka nitembee katika upendo wa dhati


Nakukaribisha Bwana
Uyatawale maisha
Yetu ya kila siku
Tufundishe kupanda mbegu
Za upendo wa dhati
Mwisho wa nyakati
Tuweze kuvuna matunda ya ukamilifu

Tengeneza upendo
Kwa waliooana
Dumisha ndoa zao
Amani itawalee
Imsrisha ...na udhaifu wao
Familia iwe mwanga wa.......



Ambassador of Christ
 
Tuendelee kukumbushana Mkuu, Mimi pia ni mzito sana kwenda Hospitali hadi niumwe serious ambapo Kwa Mwaka labda mara moja au mbili malaria ikinipiga sana.

Hiyo paragraph ya mwisho nimeielewa, ndiyo maana ukisoma bible hata akina Mfalme Daudi, Suleiman, hata Baba wa Imani Ibrahimu aliweza kulala na vigoli ( Mabinti) katika siku zao za Uzeeni seems walikuwa fit kiafya ndiyo maana waliweza mbilingembilinge za Vijana πŸ™ŠπŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…