Nimekusoma mkuu.....ila ukweli ni kwamba toka nimeanza kutumia Laptops(miaka 15+) ago karibia zote zinakufa kwa tatizo la feni tu na cpu(thermal breakdown) na tatizo kubwa sumtym ni uvivu tu wa mpk kukitafuta hicho kiwekeo cha chini.....so leo nilivyoweka tu nikajicheka ndo nikasema ngoja nipige picha nitoea somo. Hence hio quote "bingwa wa kuharibu PC".....
Cheers lad...and thank you