Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Uzuri wa boss ledi atatupa tena picha








Awanyoooshe wasioamini

Uzuri wa boss ledi atatupa tena picha









Yah!nakula kila kitu,labda nisivyokula ni sivipendi mwenyewe tu...Eeh pole ,umelezea vyema sana hapa..
Nakumbuka nilipewa hiyo mixture ya mdalasini pia japo sikuitumia sana maana ilikuwa kali .
Naamini umepona kabisa mimi sasa hivi nakula kila kitu wakati nilikuwa nakula wali na mtindi tu .
Mungu ni mwema siku zote .
Haikatai mkuuNpe makonesheni ya Vpn mm npo Ec na Wire Turn na Pshpon pro nipe madini na setting ya moja unayoikubali zaidi niwe naruka nayo.
Nyoooooooooohhhh!!!Hebu huko! Naomba nawewe uweke!Uzuri wa boss ledi atatupa tena picha
Awanyoooshe wasioamini![]()
Uko vzr aseehhh!!hukatai asili yako na unajivunia fakhari yako big up Sana'a!!mpwa anajua kisukuma kweli hukoo?!!Ukitaka kujua mambo ya Wasukuma nipo hapa shem. Sisi ndiyo wazee wenyewe tulobaki...
By the way, dada yangu wa tatu kuzaliwa naye anaitwa Minza na sisi ni Babinza![]()

Boss ledii tafadhali.Nyoooooooooohhhh!!!Hebu huko! Naomba nawewe uweke!





Putin anatukomesha shem. Galoni moja dola 4 na hapa wanauza bei ya jumla. Huko kwa reja reja ni mpaka dola 4.50+ na huu mkweche wangu unakunywa galoni 25. Siyo poa shem ila hakuna namna...Nkutumie?!gasoline mweehh!!huku bongo hazipooo
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app



UmechelewaAisee,walai nimeikosa ishafutwa

We nae,una tumbo weweee!!!mfyyyyyu!!!unatunafkia eehhh!!!Boss ledii tafadhali.
Hatujamalizia suala la tumbo jamani
Puliziii![]()
Shindwaaaaa! nawewe si unalo liweke hapa!Boss ledii tafadhali.
Hatujamalizia suala la tumbo jamani
Puliziii![]()
Hebu huko msukuma reymage weka please!!!Putin anatukomesha shem. Galoni moja dola 4 na hapa wanauza bei ya jumla. Huko kwa reja reja ni mpaka dola 4.50+ na huu mkweche wangu unakunywa galoni 25. Siyo poa shem ila hakuna namna...
Hapana usinitumie shem. Nitapambana na hali yangu na Boss Lady hana roho mbaya. Siku nyingine tena ataselfika tu. She knows her worth and she is proud![]()
Poleni sana tutakoma aseehh!mafuta kupanda bei ni kwio sana!mpk vita iishe ulimi nje tutatoa!!yaani gari inataka kua sio basic needs tena kaahh!Putin anatukomesha shem. Galoni moja dola 4 na hapa wanauza bei ya jumla. Huko kwa reja reja ni mpaka dola 4.50+ na huu mkweche wangu unakunywa galoni 25. Siyo poa shem ila hakuna namna...
Hapana usinitumie shem. Nitapambana na hali yangu na Boss Lady hana roho mbaya. Siku nyingine tena ataselfika tu. She knows her worth and she is proud![]()



!!na kwanza sikuichukua mmechelewaZimenipita tatu Boss Lady na mimi ni shabiki yako wa pili hapa. Unaniachaje sasa jamani?Umechelewa![]()



Hebu huko msukuma reymage weka please!!!


sina sikuichukua nlivokua nataka kuichukua nkakuta ushafutaaKama alivokukutaZimenipita tatu Boss Lady na mimi ni shabiki yako wa pili hapa. Unaniachaje sasa jamani?![]()














jikaze bhageshii!!!Basi tukubaliane hapa kuwa boss ledi huna kitambiiiShindwaaaaa! nawewe si unalo liweke hapa!




















Mie nimemaliza nasubiria za wengine hapaZimenipita tatu Boss Lady na mimi ni shabiki yako wa pili hapa. Unaniachaje sasa jamani?![]()


Namaanisha Weka zako wii...sina sikuichukua nlivokua nataka kuichukua nkakuta ushafutaa
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Boss ledi pia hana japo anasema analoWe nae,una tumbo weweee!!!mfyyyyyu!!!unatunafkia eehhh!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app








Haya zamu yakoBasi tukubaliane hapa kuwa boss ledi huna kitambiii
Tangu selfika imeanza sijaona pisi kali kama boss ledi![]()