Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikwambia mimi anza kutupa vocha humu hukunielewa
Unaona mzigo huo bro???
Kama mlima Loleza vile

Mzigo umejaa
Ukimuweka mbele anaenea kwenye range
Huu mzigo wa kukaa kwenye range rover
Mdogo wangu nimekata shauri huyu mtoto naingia mazima na wew ndie utaongoza mashambulizi ukraine vocha kitu gani bwana nitakua naweka za teni teni tu
 
Nkweelaa mi mzima kabisaa Mungu mwema sana!
Kang'wa na Minza hawajambo kabisaa...na bashaija mzima tunashukuru sana!
Leo ukiwa fresh niambie nikutunuku kapichaa!!
I hope uko okay kabisaa hukoo uliko!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Sawa shemeji.

Thenki yu mai byurifu shem...

Nitakushtua. Niko madukani kidogo kwa sasa...
 
Nkweelaa mi mzima kabisaa Mungu mwema sana!
Kang'wa na Minza hawajambo kabisaa...na bashaija mzima tunashukuru sana!
Leo ukiwa fresh niambie nikutunuku kapichaa!!
I hope uko okay kabisaa hukoo uliko!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kang'wa na Minza. Wasukuma orijino. Ukoo wa Babinza ni mojawapo ya koo kubwa sana kwa Wasukuma.

Wabeja nkweela
 
Kang'wa na Minza. Wasukuma orijino. Ukoo wa Babinza ni mojawapo ya koo kubwa sana kwa Wasukuma.

Wabeja nkweela
Ooohh!kumbe sikujuaga kama ukoo mkubwa !!!ila napendaga sana wanavotumia majina ya asili nayaheshimu mnoo!!!hawa orijino wa bushtala hukoo!!!
Nashukuru if uko okay!!!


Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom