Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pombe hakuna mahali imekatazwa

Tena ikasemwa tunywe kwa kiasi

Umalaya

Waliambiwa aliye mwema awe wa kwanza kumpiga jiwe hakuna aliyethubutu

Ndio maana halua haina makombo

Mavazi yameelezewa vizuri kwenye wimbo ulio bora

Hakuna la ajabu hapo

Huo unaousema unafiq ndio kabisaa

Sodoma na Gomora zilipigwa kiberiti

Ushoga noma haufai
😎😎😎 mwanangu nipo kwa wini hapa nimetoka saloon napata maji baridii ya hill
 
Umenikumbusha Shekel🙂...sijui nilipotezea wapi nilizokuwa nazo 😔😔

Nigawie zako kidogo nione kama zinanoga ndo nijiunge 😁😁😁
Weeeee unapoteza shekeli 😬😬😬.. zisake

😀😀😀 na zinanoga sana hasa kwenye withdraw.. mfano majuzi nimetoa mpunga.. nacheki usiku wa saa saba ka massage ka ABSA twii.. kucheki hivi mzigoo huuo.. asubuhi nimeamka ninacheka tuuuu..
 
IMG_20220317_114719_271.jpg

Kwa sisi Wazee hiki ndiyo kipimo chetu cha kula Korosho jamani😀

Tafadhali kula kistaarabu 🤪

Good day to everyone here 🥂
 
Back
Top Bottom