cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Wallah imekaa hapa dkk 10, wee haupo lolNakudai dogo
Usinitanie![]()
Wallah imekaa hapa dkk 10, wee haupo lolNakudai dogo
Usinitanie![]()
Umependeza

Tatizo unapost nikiondokaWallah imekaa hapa dkk 10, wee haupo lol

Awwh thank you dearestKipenziiii umetoka mcharoooh, ndani ya nguo za staha, hakika mwanamke wa ki Africa,![]()
..Hiyo aya ya piliPombe sawa
Ushoga hapana
Umalaya sawa
Vimini na nguo za hovyo sawa
Huu ndio unafiki wenyewe.



We mtoto umegeuka nabiinajua unachocheka, imenifanya nicheke zaidi. Uwiiiiih



Ooh thank you Anne ..Umependeza![]()





huyo wige katumwa anisakame mie, navowasifiaga watu na sifa lukuki, kaamua ageukie kwangu. WoiiiiihKama huuoni basi ni sawaHiyo aya ya pili
Ndio unafiq
Lutu aligeuka jiwe la chumvi
Kwa kuangalia tu ule mji
Ukiteketezwa
Sembuse waliotenda
Unafiq upo wapi hapo
Umemalizaaaa.Pombe sawa
Ushoga hapana
Umalaya sawa
Vimini na nguo za hovyo sawa
Huu ndio unafiki wenyewe.
Mie sitaki bhana hii mada, wee vipi lakiniYaani
Kwamba huo unafiq
Unaangukia kwenye muktadha upi
Huu mshono

Eti haoniUmemalizaaaa.

We mtoto umegeuka nabii![]()






inakua anajua hajui, hebu tuwe wapoleee. Hahaha nomahuyo wige katumwa anisakame mie, navowasifiaga watu na sifa lukuki, kaamua ageukie kwangu. Woiiiiih
Mngoni unalipa bhanahuyo wige katumwa anisakame mie, navowasifiaga watu na sifa lukuki, kaamua ageukie kwangu. Woiiiiih
