Selfika na JF: Snap it. Show it

Eti haoni
Pombe hakuna mahali imekatazwa

Tena ikasemwa tunywe kwa kiasi

Umalaya


Waliambiwa aliye mwema awe wa kwanza kumpiga jiwe hakuna aliyethubutu

Ndio maana halua haina makombo

Mavazi yameelezewa vizuri kwenye wimbo ulio bora

Hakuna la ajabu hapo

Huo unaousema unafiq ndio kabisaa

Sodoma na Gomora zilipigwa kiberiti

Ushoga noma haufai
 
Umeshinda.
 
Basi umeshinda, haya relaaaax sasa wee mzee.
Hatutaki sahivi, kila mtu msalaba wake atabeba mwenyewe.
Na atakayehukumu n m1 tyuuh, ko tuwe wapole itafahamika hiyo siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…