Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

anaejua dawa ya Ulcers hata ya kienyeji yaani kwa mwezi haipiti mara mbili lazima nikachomwe sindano


Pitia huu Uzi nkamu .
......

Pole sana
1.Mimi nilipougua nilijitahidi kula vyakula laini mfano bamia mlenda uji,mapapai na vingine kama hivyo...
Yaani nilikuwa nakula mlenda mno
..nilipunguza vyakula vinavyokwangua tumbo na vyenye gas..soda niliachana nazo kabisa.
Hili ni jambo la kwanza kufanya.

Niliona dawa za hsp siziwezi maana zilikuwa kali na mimi mvivu kula sananilimeza siku 2 tu nikaacha.

2.Nilijitahidi kula mara kwa mara, Yaani kuhakikisha tumbo halibaki wazi.


3.Nilitafuta kokwa(mbegu)peke la parachichi,nikalikausha nikasaga,nikachekecha..unga wake sasa unakoroga kwenye maji vuguvugu unakunywa asbh mchana na jioni.

4.Kuna yale majani ya yale mashika nguo( watu wa Mbeya wanayaita kapunika)
Unayachemsha yale unakunywa.

5.Kubwa kuliko yote ni maombi .
.....

Mimi nilipona ndani ya miezi mitatu.
..nilitumia hizo njia zote
Sana sana 5&2
Sielewi kilichoniponya exactly ni kipi ila naamini ni maombi na kuzingatia ulaji maana hizo dawa nilikunywa mara chache tu.
 
Lizzy tupi mzigo ucheze na wewe 😎😎😎

Kashaija72 maendeleo vipi
Screenshot_20220318_124155_net.metaquotes.metatrader4_edit_170948687644748.jpg
 


Pitia huu Uzi nkamu .
......

Pole sana
1.Mimi nilipougua nilijitahidi kula vyakula laini mfano bamia mlenda uji,mapapai na vingine kama hivyo...
Yaani nilikuwa nakula mlenda mno
..nilipunguza vyakula vinavyokwangua tumbo na vyenye gas..soda niliachana nazo kabisa.
Hili ni jambo la kwanza kufanya.

Niliona dawa siziwezi maana zilikuwa kali na mimi mvivu kula sananilimeza siku 2 tu nikaacha.

2.Nilijitahidi kula mara kwa mara, Yaani kuhakikisha tumbo halibaki wazi.


3.Nilitafuta kokwa(mbegu)peke la parachichi,nikalikausha nikasaga,nikachekecha..unga wake sasa unakoroga kwenye maji vuguvugu unakunywa asbh mchana na jioni.

4.Kuna yale majani ya yale mashika nguo( watu wa Mbeya wanayaita kapunika)
Unayachemsha yale unakunywa.

5.Kubwa kuliko yote ni maombi .
.....

Mimi nilipona ndani ya miezi mitatu.
..nilitumia hizo njia zote
Sana sana 5&2
Sielewi kilichoniponya exactly ni kipi ila naamini ni maombi na kuzingatia ulaji maana hizo dawa nilikunywa mara chache tu.

sawa Nkamu nitaupitia

hiyo ya parachichi nishawahi fanya vilitulia kama miezi sita hivi baada ya hapo vikarudi.

asante kwa ushauri mzuri
 


Pitia huu Uzi nkamu .
......

Pole sana
1.Mimi nilipougua nilijitahidi kula vyakula laini mfano bamia mlenda uji,mapapai na vingine kama hivyo...
Yaani nilikuwa nakula mlenda mno
..nilipunguza vyakula vinavyokwangua tumbo na vyenye gas..soda niliachana nazo kabisa.
Hili ni jambo la kwanza kufanya.

Niliona dawa za hsp siziwezi maana zilikuwa kali na mimi mvivu kula sananilimeza siku 2 tu nikaacha.

2.Nilijitahidi kula mara kwa mara, Yaani kuhakikisha tumbo halibaki wazi.


3.Nilitafuta kokwa(mbegu)peke la parachichi,nikalikausha nikasaga,nikachekecha..unga wake sasa unakoroga kwenye maji vuguvugu unakunywa asbh mchana na jioni.

4.Kuna yale majani ya yale mashika nguo( watu wa Mbeya wanayaita kapunika)
Unayachemsha yale unakunywa.

5.Kubwa kuliko yote ni maombi .
.....

Mimi nilipona ndani ya miezi mitatu.
..nilitumia hizo njia zote
Sana sana 5&2
Sielewi kilichoniponya exactly ni kipi ila naamini ni maombi na kuzingatia ulaji maana hizo dawa nilikunywa mara chache tu.
Hongera sanaaah. Na umetoa ushauri mzuri mno.
 
sawa Nkamu nitaupitia

hiyo ya parachichi nishawahi fanya vilitulia kama miezi sita hivi baada ya hapo vikarudi.

asante kwa ushauri mzuri
Pole gwa myitu. Vidonda vya tumbo ni mawazo,usipo kuwa na mawazo hautavisikia.
Dawa ya kuondokana navyo kwa haraka ni kuondokana na mawazo kwa vitu ambavyo havisuluhishiki kwa haraka,kama ni ada ongea na waalimu mara kwa mara ili wakuzoee shida zako. Usimuwazie magumu unnyambala,mfanye rafiki wa kuongea nae kila jambo.
Pombe kidogo ni tiba kwa sisi wenye mizigo ya mawazo.
 
Pole gwa myitu. Vidonda vya tumbo ni mawazo,usipo kuwa na mawazo hautavisikia.
Dawa ya kuondokana navyo kwa haraka ni kuondokana na mawazo kwa vitu ambavyo havisuluhishiki kwa haraka,kama ni ada ongea na waalimu mara kwa mara ili wakuzoee shida zako. Usimuwazie magumu unnyambala,mfanye rafiki wa kuongea nae kila jambo.
Pombe kidogo ni tiba kwa sisi wenye mizigo ya mawazo.
Ankoo unakunywa tupombe?
 
sawa Nkamu nitaupitia

hiyo ya parachichi nishawahi fanya vilitulia kama miezi sita hivi baada ya hapo vikarudi.

asante kwa ushauri mzuri
Oh
Karibu options zingine wadau wamezitoa huko.
Usisahau maombi,ni option nzuri kuliko hizo zote.
 
Back
Top Bottom