Selfika na JF: Snap it. Show it

Nkamu umeongea kwa hisia
Mungu akusimamie uje ufanikiwe upate ajira au ufanikiwe kwenye biashara zako

Sawa Nkamu
Ndiyo.
Kuna watu wamelala nyumbani,wanatamani hata wangepata shughuli ya kuwanyanyua hapo nyumbani ila hawana ..hawaelewi watatoa wapi mkate.


Kuna wengine jua la Dar lile linatoboa utosi
ila tunapambana kuuza barafu.
Kujiajiri kazi nkamu,,mara unaenda asbh unakuta Suma washang'oa kibanda chako


Mshukuru Mungu Tena
 
Ila mashabiki wa Arsenal wanavutia.. wako na zile physical appearances safi kabisa.

Ni kama vile asilimia kadhaa ya ma gents na ma beautiful ladies walienda Arsenal

Source: rafiki zangu na ndugu zangu
Naunga mkono hoja.

Mfano mzuri ni kaka yetu uchembe ERoni selfie zake humu.

Kwanza jezi zao zinawapendeza kinyama.
 
Nakazia.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…