Selfika na JF: Snap it. Show it


Sema mimi ugumu nauona asubuhi tu kwenye kuamka ..!

Yes kila kitu kina changamoto yake ni kupambana tu, ukikaa na waliojiajiri wanakuambia bora kuajiriwa.
 
Ulianza vizuri ila hapo mwisho ndiyo umeharibu😒

Usiwape kichwa Mashetani bhana
Mimi sio mfuasi wa mashetani wala hao livakuku πŸšΆπŸ»β€β™€οΈπŸšΆπŸ»β€β™€οΈ

Niko zangu Arsenal kwa mahendsam boys πŸ€’

Haya naomba zawadi πŸ€ΈπŸ»β€β™€οΈ
 
Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.


Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.

Nkamu umeongea kwa hisia
Mungu akusimamie uje ufanikiwe upate ajira au ufanikiwe kwenye biashara zako

Sawa Nkamu
 
Yan wewe na hayo mabarafu
Mungu anakuona
We tudhihaki tu sisi wauza barafu Taifa 😁
Kuna watu tunatafuta ajira na hatujapata..tunafanya hizo biashara unazosema na tunateseka usiku kucha kuzunguka kuuza barafu,,ukisema ujipe likizo ndio utashinda njaa hiyo siku.


Ukiwa nayo unamshukuru Mungu nkamu.
Mara ya 2 umeongea hili humu.
 
Ila mashabiki wa Arsenal wanavutia.. wako na zile physical appearances safi kabisa.

Ni kama vile asilimia kadhaa ya ma gents na ma beautiful ladies walienda Arsenal

Source: rafiki zangu na ndugu zangu
eeeeh ndyoooooo yaan, afu wana Yale magonjwa nyemelezi, afu wana pesa ndefu.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…