Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Na Lile range Rover Lile,yeye lile ni la kushindiaAfu nkamu usikute lile li-vi8 nalolionaga ni lako eeh?
Na Lile range Rover Lile,yeye lile ni la kushindiaAfu nkamu usikute lile li-vi8 nalolionaga ni lako eeh?
Napajuaje Isyesye? Ngoja siku ntakuvizia nikuphotoe![]()


taratibu basiSio langu mbonaNa Lile range Rover Lile,yeye lile ni la kushindia
hivi Kuna gari za kushindia?Huyu anataka atufukuzie watupia vocha wetu
Kwa waadventistaWewe katekista wa kisabato unaijuaje Manyara


Huna hili Wala Lile Unakuta kajoyce kanauza maandazi njiapanda ya sijabaje,unapindua meza na vieite😃Sio langu mbona
Kwa zile plate numbers; lazima nitakupata tu😀😀taratibu basi
Sio rahisi hivyo kuacha picha ikae muda mrefu hivyo.@Nuzulati
Umetoka kuwasema wenzio
Sasa umefanya nini
Ebu irudie rafiki
Aah na la kwendea sokoni ni lipi?Na Lile range Rover Lile,yeye lile ni la kushindia
Kama kawaida yako![]()

Kwanini usiende kulala hostel za missionNitake radhi arif![]()
Thubutuuuuu! Niliifuta palepale nikairemuvu pamanentli hadi kwenye trashSiku ule ulitupiga chenga ya mwili Bosi Ledi. Video umei-trim tunaona. Video imeload tunaiona hivi mpaka imefikia 100%. Halafu ukala kona dah!
Tuliokuwa tunaisubiria siku ile tufikiriwe kwa kweli hata kama ni PM
Bosi Ledi unasemaje?
..............picha ya Jana...!!!??! UsiulizeYa nini tena?
Kuna mtu nilijua tu atakuta stori za wasomali na picha hajaona😂Kwa hiyo na wewe umejifunza tabia yetu ya kufuta?
Huna hili Wala Lile Unakuta kajoyce kanauza maandazi njiapanda ya sijabaje,unapindua meza na vieite![]()


weeeeeeeHahahaaaMweee
Boss ledi leo umekaza
Basi tuendelee kuselfika
JidanganyeKuna mtu nilijua tu atakuta stori za wasomali na picha hajaona😂
Hahaaaaaa. Ya duniani utayaacha. Rudi njia kuu mapema Sana.Kwa waadventista
Hakuna ma katekista
Kuna wachungaji
Kuna mashemasi
Kuna dorikas nk
Nimezaliwa nikalelewa na kukulia humo
Dunia ikawa tam zaidi![]()
Hahahaa na Mimi nitakupata tuuKwa zile plate numbers; lazima nitakupata tu![]()