Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sikufichi, amekupa ushindi wa buree tyuuh, wee mwenyewe unajua nn n nn, afu nlikua sijakufahamu vizuri,

Wee hapo una asili ya dharau, kejeri, majivuno na kiburi, samahani kwa kukuambia ukweli, sijataka kuwa mnafiki. Nimekuambia wazi, please acha hizo tabia. Sio fresh wala nn.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na ukitaka ni kudharau nakudharu kweli.. na ukitaka kukuheshimu nakuhemu nakupa package unayotaka 😎😎
 
Inafika zamu yako anasema Sasa wew hebu kaa kwanza pembeni nikishakula lunch ndio nitaanza na wew
Baada ya calculations zako kumtoa jasho maana zilikuwa complicated ..
Unakuta ni kama zile paper ndefu za hesabu.

Akija kwangu ameshiba ,anaanza kupiga miayo.
Hizo hesabu naimagine sipati majibu.
 
Baada ya calculations zako kumtoa jasho maana zilikuwa complicated ..
Unakuta ni kama zile paper ndefu za hesabu.

Akija kwangu ameshiba ,anaanza kupiga miayo.
Hizo hesabu naimagine sipati majibu.
ila dgo kipigo Cha Jana bado nakiwazia Sana hapa sijui kinatufundisha nini katika maisha
 
Sasa nahangaika na mapepo ya nini?
Hapana cc usiwe na jazba, calm down.

Huyu hapa kuna siku walibishana na member fulani, hadi akamuuliza swali, alimuuliza wee unatokea ukanda wa senene au migebuka, yeye akajibu hapana, baadae mwenzake alimuambia una tabia za watu asili ya huko, sasa mie nilijua labda kisa anapost yuko maeneo expensive tyuuh na vyakula ghali,

Sasa leo kupitia comments zake ktk hii mada ndo nimegundua hilo.
Anisamehe kwa kusema ukweli, sijataka niwe mnafiki kwake, najua nyie ni watu mnaoelewana, ila kwa leo nimejua uhalisia wa kitu fulan.



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Okay malizana nae Kisha uje unieleze namna gani "tulishakombolewa" na hivyo we shall live as we wilt.
Ipo hivi mkuu.. Mtu huwa mtumwa kwa anacho kitumikia, na anacho kitumikia kita drive maisha yake kwasababu kina nguvu katika maisha yake. Simple Kwa mkristo na kwa maandiko Kristo alitufia msalabani, alitununua kwa damu yake ya thamani, kimahesabu alie kununua ndie unatakiwa kumuishia maana u mtumwa kwake.. but Mungu katuachia free will.. unaweza kubali ku submit and His authority na uweza wake au ku disobey... pote kuna matokea ukitii na kuto kutii.. but baada ya kumpokea alie kukombo.. kuna transformation yako muhusika ( tunarudi kwenye character) ambapo unatakuwa kuwa yoked nae.. kwa kuishi kama yeye alivyo ishi but una design yako na package yako ndani yake.. in full nayo ni opt ambapo bado unaweza sema ok or no..
 
ila dgo kipigo Cha Jana bado nakiwazia Sana hapa sijui kinatufundisha nini katika maisha
Mbona nilishajibu Ronaldo anawafundisha rede

Inabidi hii timu uwapakie kwenye kenta wakasombe mbolea huko Makete hata mwaka mzima bila mshahara.
Wakirudi watakuwa watu wazuri.
Screenshot_20220316-160945.jpg
 
Hapana cc usiwe na jazba, calm down.

Huyu hapa kuna siku walibishana na member fulani, hadi akamuuliza swali, alimuuliza wee unatokea ukanda wa senene au migebuka, yeye akajibu hapana, baadae mwenzake alimuambia una tabia za watu asili ya huko, sasa mie nilijua labda kisa anapost yuko maeneo expensive tyuuh na vyakula ghali,

Sasa leo kupitia comments zake ktk hii mada ndo nimegundua hilo.
Anisamehe kwa kusema ukweli, sijataka niwe mnafiki kwake, najua nyie ni watu mnaoelewana, ila kwa leo nimejua uhalisia wa kitu fulan.



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Na wew dogo acha ujinga kwahyo mtu Kama hua Hali maeneo ya uswahilini Sana haruhusiwi kupost
 
Walokole wa kizamani hao ndio hawa ambao wanaleta kelele ya kulazimshana kuvaa majuba.. akili zao bado zina giza.. wamekwamaaa.. hao ni kama mafarisayo wanafikiri wana mpendeza Mungu kwa matendo yao au mavazi au kazi zao.. watu wanafikiri kuwa mlokole ndio kuwa fala wa dunia hiii 😂😂😂😂
Too much usasa nao ni ulimbukeni tu linapokuja suala la maadili kidini, hata kimaadili ya ktz tu ukiweka usasa mwingi wananchi tutakushangaa kidogo.

Umagharibi usitujae vichwani tukaanza kushangaa wengine na mitizamo yao.

Mimi Monday to Friday , frm 0730 to 1700 naspend sana muda na Walokole. Nawajua kwa kiasi, siwezi mshangaa SA anavyoshangaa pombe wala short clothes’ hapa ni zile zilizojuu ya magoti.

Hapa mnashupaza shingo sababu ni mnatype tu, I’m sure hamuwezi ruhusu watoto wenu wavae sket iko katikati ya mapaja na mkayafurahia.

Keyboard warrior.. I rest my case
Tchao
 
Hapana cc usiwe na jazba, calm down.

Huyu hapa kuna siku walibishana na member fulani, hadi akamuuliza swali, alimuuliza wee unatokea ukanda wa senene au migebuka, yeye akajibu hapana, baadae mwenzake alimuambia una tabia za watu asili ya huko, sasa mie nilijua labda kisa anapost yuko maeneo expensive tyuuh na vyakula ghali,

Sasa leo kupitia comments zake ktk hii mada ndo nimegundua hilo.
Anisamehe kwa kusema ukweli, sijataka niwe mnafiki kwake, najua nyie ni watu mnaoelewana, ila kwa leo nimejua uhalisia wa kitu fulan.



Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app

Usichukulie siriazi haya maandishi.


On serious note;He is a very good person...
Kutofautiana kimitazamo haiondoi sifa yake kwamba ni mtu mzuri sana.
 
Hunijui hata chembe aseee... umetoa bonge la bokoo.. ndio kamekutuma uje ujazilizie nyama nyamaaa eeeh.. sijawai kuwa na dharua na sijawai kuwa na kejeli kwa wanao nijua nje ya JF pekee ndio wanao weza jua ni mtu aina gani.. hutokaa unijue huna capacity ya kunijua
Wala sio kwa ubaya hata, kuna baadhi ya comments hazikufaa uziweke vile, sorry km nimekosea.
Relaaaaax bhanaaa, tuendelee kuselfika.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 

Usichukulie siriazi haya maandishi.


On serious note;He is a very good person...
Kutofautiana kimitazamo haiondoi sifa yake kwamba ni mtu mzuri sana.
Dogo nae anachukulia serious Sana watu Wana maisha tofauti humu usifikiri wote wakusoma kisa tunajitoa ufahamu
 
Back
Top Bottom