Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tumepikwaa 10 years school zote.. hizi zimekaa kwa head

Soteriology, Pnuematology, Atonement Theory, Angelology/ Demonology, Eschatology, Ecclesiology, Canonicity
Miaka yako kwenye kupikwa itakuwa si chochote kama haitakusaidia kutenda kweli.

Hakuna watu wamepikwa hii dunia kama viongozi wa kanisa katoliki ila ajabu pamoja na kuiva kote baadhi yao wameamua kuunga mkono mambo yaliyo chukizo kwa Mungu .

Kwahiyo hiyo miaka 10 na hayo mavitu yote umetaja,bila kuisimamia kwenye kweli basi ulipoteza muda bure.

Halafu basi unajikutaga wewe mwamba pekeyako umesoma na unajua kila kitu.

Mimi nina kaelimu kangu kadogo ka bible knowledge na nikakafanyia necta..+elimu ya mafundisho ninayopata sehemu mbalimbali +mafundisho ya Roho Mtakatifu mwenyewe ambayo ni muhimu kuliko mengine yote.
Na nayatumia kwa maendeleo yangu binafsi kiroho na wala si kuja kudorishia watu kwamba na mimi nilisoma.


Mwakaseghe hata theology hakwenda kusoma formally.
 
Miaka yako kwenye kupikwa itakuwa si chochote kama haitakusaidia kutenda kweli.

Hakuna watu wamepikwa hii dunia kama viongozi wa kanisa katoliki ila ajabu pamoja na kuiva kote baadhi yao wameamua kuunga mkono mambo yaliyo chukizo kwa Mungu .

Kwahiyo hiyo miaka 10 na hayo mavitu yote umetaja,bila kuisimamia kwenye kweli basi ulipoteza muda bure.

Halafu basi unajikutaga wewe mwamba pekeyako umesoma na unajua kila kitu.

Mimi nina kaelimu kangu kadogo ka bible knowledge na nikakafanyia necta..+elimu ya mafundisho ninayopata sehemu mbalimbali +mafundisho ya Roho Mtakatifu mwenyewe ambayo ni muhimu kuliko mengine yote.
Na nayatumia kwa maendeleo yangu binafsi kiroho na wala si kuja kudorishia watu kwamba na mimi nilisoma.


Mwakaseghe hata theology hakwenda kusoma formally.
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Vipi Bia pombe safari lager wine alcohol unasemaje maana waroma wanazichapa kama kawa na zaidi ya 10 years?... naona pumzi imekata ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ nani kakuambia hajasoma Theology.. au ulitaka akutangazie? au nikupe prove kasoma au utabisha ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 
alafu eti ivaaa gauni hadi kwenye visigono.. khaaaa... ebu hata wewe shosteee sema jamani
huyo wako badooo sana kwa unyana wa swaggz, maujanja na uzungu, hanifikii hata roboo, mie ni komesha, nna makombora ya hataree kwenye gallery angu, nlishawahi weka hapa,
Huyo kanizidi tatooo na shape, wee acha watu wawe casual bhana, mie mambo ya dini staki kabisaa.

Avae magauni ya marinda huyo awe mama mkubwa wa kirangi. Woiiiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
huyo wako badooo sana kwa unyana wa swaggz, maujanja na uzungu, hanifikii hata roboo, mie ni komesha, nna makombora ya hataree kwenye gallery angu, nlishawahi weka hapa,
Huyo kanizidi tatooo na shape, wee acha watu wawe casual bhana, mie mambo ya dini staki kabisaa.

Avae magauni ya marinda huyo awe mama mkubwa wa kirangi. Woiiiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ usinijaze upepo nikamshusha mzima mzima hapa ndio ujue nimempa maujanja au. laaaa... ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ mtu anavaaa kama anaenda kuhani msibani.. kumbe mnaenda three star hotel kunywa ka kaahawaaaa ๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž
 
huyo wako badooo sana kwa unyana wa swaggz, maujanja na uzungu, hanifikii hata roboo, mie ni komesha, nna makombora ya hataree kwenye gallery angu, nlishawahi weka hapa,
Huyo kanizidi tatooo na shape, wee acha watu wawe casual bhana, mie mambo ya dini staki kabisaa.

Avae magauni ya marinda huyo awe mama mkubwa wa kirangi. Woiiiiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Inaonekana una swagga hatari ..
Siku ukitupia naomba unitag shosti .
 
Back
Top Bottom