Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😃😃 Mie mwenyewe mwalimu.. hakuna andiko la mavazi.. isipokuwa kuna maelekezo ya mavazi na yalitolewa katika jamii flani na ilikuwa kwasababu.. sasa kama unachukua andiko ambalo lilikhwa direct kwenye jamii fulani na kutaka lifanye kazi kote ume fail 😄😄😄😄Mtafute sasa mwimu wa Neno la Mungu akufundishe
Maana hili ni somo.










