cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Ameamua kuachana na habari zake kabisa![]()






kabisaaaa. Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ameamua kuachana na habari zake kabisa![]()






kabisaaaa. shos kama shos!!! Miss you more!😘😘😘♥️
Shouzzzzzzzz angu mbna jana nilikuita hapa kmyaa, miss u sanaaaaahshos kama shos!!! Miss you more!![]()








Nilitingwa kidogo shos! Ulitupia mamboz???Shouzzzzzzzz angu mbna jana nilikuita hapa kmyaa, miss u sanaaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Weka akibaFortnox umeona Jana mechi ya kosi la dunia?
Tunawaambia kila siku hii timu itawauwa
Jack Palladino nikupe matokeo au uko busy na shughuli zako?View attachment 2152452
Tunajua tuna mechi ngumu tena ya ugenini ila tunawaamini vijana wetu.Weka akiba
Arsenal siku hizi ni wa moto
Kama hamjagawana point moja moja
Kila mtu ana mechi zake na wew ushinde zakoTunajua tuna mechi ngumu tena ya ugenini ila tunawaamini vijana wetu.
Hata tukipoteza bado man u hawezi kukaa pale juu.
Hapanaaaah, nilitaka uwepo wako tyuuh.Nilitingwa kidogo shos! Ulitupia mamboz???






Hupati kabisa 😁😁😁😁😁 (nasubiri kichambo)Kaka ako napata sipati 🤣🤣View attachment 2152598
To my STDs kwa kweli kaka ake hanipati 🤣🤣🤣Hupati kabisa 😁😁😁😁😁 (nasubiri kichambo)
Sisi kushinda kawaida yetuKila mtu ana mechi zake na wew ushinde zako

Nipo shos!! Vipi ka selfie leo utatupiamo??


My ex tupumzishe banaHuyu nwamba amenivunja mbavu zote hasa alivyofanya finishing sentensi yake ya mwisho.
Aiseee ukitaka kucheka ingia uzi wa man uView attachment 2152662View attachment 2152663

Toa za kutosha tukanywe biaHaka kaeneo jamaniView attachment 2152672

😋😋😋😋 tufungue tea bar.. chai inanitoa udenda.. naweza inywa hii mala tatu kama dozi
unyama sanaaa 😃😃😃Tukapige kazi tu View attachment 2152590