Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
hakuna mahala nimesema kutembea uchi 😃😃😃.. ila style ya mavazi na design inategemea na tamaduni za watu.. mavazi na design sio tiketi ya utajatifu.. acha totoz zile vipedo vikaptula vimini.. vipunge upepo.. ni swala la kuchagua na sio swala la kunyoosheana vidoleHakuna nilipofail
Ni watu tu wanajitoa ufahamu na kufuata mkumbo.
Kama wewe kwako mavazi hayana uhusiano na wokovu basi ni sawa,,siku moja moja anza kujitupia tu kitaa uchi ..it has nothing tl do with your salvation.



