Mimi niliokutana nao wengi wanapenda zaidi kupewa na mwanaume. Na wengine wanapenda vitu sio Hela.
Kuna mmoja nilimtumia Hela ya sikukuu anunue nguo akaniambia anajiskia raha nikimnunulia nguo kuliko kumpa Hela. Ni tabia ya kike, unajua twapaswa kuwatunza.
Ndio maana nikasema ni tabia ya mtu na mtu kuna wapenda zawadi kuna wapenda hela kuna wapenda sex kila mmona ana tabia yake .. mkuu unatuma hela eeh! Hongera πππ
Ndio maana nikasema ni tabia ya mtu na mtu kuna wapenda zawadi kuna wapenda hela kuna wapenda sex kila mmona ana tabia yake .. mkuu unatuma hela eeh! Hongera
Ndio maana nikasema ni tabia ya mtu na mtu kuna wapenda zawadi kuna wapenda hela kuna wapenda sex kila mmona ana tabia yake .. mkuu unatuma hela eeh! Hongera
Marahaba Boss Lady...na asante sana. Jana hukuonekana hapa na nilikuulizia mno mpaka nikazidisha. Usipokuwepo hapa tunakuwa kama watoto yatima tu yaani. Hatuwezi kuishi bila Boss Lady hapa jamani. Hata siku ukitingwa na majukumu yako angalau toa angalizo mamake.