Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Muulize Mjep jana usiku alikuwa kavaa nini.. na anaonekanaje [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].. wewe umeona leo tu unahisi umeona vyote.. nasubiri usiku napost za beach kama utaweza keshaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Bila Bosi Ledi kuonekana japo mara moja hapa uzi unakosa ladha. Huoni masaa karibu tisa mnajadili utopolo wa sijui tattoo, sijui mtepesho, sijui nini....Angekuwepo Bosi Ledi kungekuwa na balansi ya mada...tena awepo na shouzz yake wa jomoniii na mizagamuko weh! Mbona ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] imenibidi nikae kimya tyuuh, sometimes unafanya sivyo niwe tyuu mkweli.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28] faza umenichekesha sana
Ila muhusika kachukia, na hajajua tyuuh, akianza balaa lake watu waanze kuhemkwa humu ndani kuwa watoto hawana adabu, kumbe huwa wakubwa wanataka wenyewe. [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Unik eyes
FB_IMG_1647285952629.jpg
 
Back
Top Bottom