Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
umekosa mengii shosteee wanguuu... mfyuuuu majabu ni yepi unafikiri first year wa ruaha university![]()




umekosa mengii shosteee wanguuu... mfyuuuu majabu ni yepi unafikiri first year wa ruaha university![]()




®️...Kheeeeeeh 1St yr afu ana tatooo mguuni? Wallah umeingia cha kike khaaaaah,
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kweli tena. Akija Tinsley muulizeAh wapi![]()
Mimi ninazo za tangu Jana
Na hiyo umeona wewe ni aliyovaa sketi,ipo nyingine alipost amevaa suruali.







Umeona ni piko au tatoo 😀😀Ile mguuni ni tattoo au piko?,🤔🤔🤔
Muulize Mjep jana usiku alikuwa kavaa nini.. na anaonekanaje.. wewe umeona leo tu unahisi umeona vyote.. nasubiri usiku napost za beach kama utaweza keshaaaa










Sijaizingatia kuingalia tenaUmeona ni piko au tatoo 😀😀
Afu nimetoka na ba mjengo hapa na kaptura zetu. Sisi ndiyo wakubwa na wazazi kwetu![]()









mbavu zangu mie lol. Wachaa
Kwa kweli umepata.
Ila hizo tattoo mmh![]()






khaaaahAlivyokaa uchi hivi namuoneaje wivu?






mnaniua kwa kucheka hapa lol. Wewe na huyo Mkurugenzi mwenzio; mbinguni mtafika kwa kuruka kichurachura








Bila Bosi Ledi kuonekana japo mara moja hapa uzi unakosa ladha. Huoni masaa karibu tisa mnajadili utopolo wa sijui tattoo, sijui mtepesho, sijui nini....Angekuwepo Bosi Ledi kungekuwa na balansi ya mada...tena awepo na shouzz yake wa jomoniii na mizagamuko weh! Mbona ni![]()





imenibidi nikae kimya tyuuh, sometimes unafanya sivyo niwe tyuu mkweli.Wacha wee.
Ukimleta huyo tutakemea mapepo
Amekubambika









Ila muhusika kachukia, na hajajua tyuuh, akianza balaa lake watu waanze kuhemkwa humu ndani kuwa watoto hawana adabu, kumbe huwa wakubwa wanataka wenyewe.faza umenichekesha sana



