Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku hizi kuna super tall handsome wa kuitwa Matip Joel..Mahaba yamehamia huko.
Kazi unayo!
TAA2021.jpg
JMatip2021.jpg
 
Jirani inabidi tupige road trip moja ya kibabe... niliunge tela tukaachane pale kama unaenda kipalapala mie narudi chini kidogo 😂😂😂😂 huku tabora boy nanyanyuaaa paka igombe kuogelea
Aahahahahaa jiraniiii, nimerejea.

Imeishaaa hiyoooo, imebaki utekelezaji tuu...😋😋

Ila isiwe kipindi cha mvua tafadhali.

Huko kuogelea 🤔🤔🤔..... Yaani tutoke Dar gari moja tunapokezana u co-driver halafu nikuache kipalapala...!!

Au kila mtu anakuwa kwenye usukani wake...?? Sijakuelewa jiranii.
 
Well sijui ni imani au mazoeaaa....

Yaani energy drink zote zilizokuja baada ya Redbull.... kuliko nizinywe nikikosa Redbull bora nikubali kuwa teja.

Dereva bajaji alikufikisha salama jirani?
Sio imani ni ukweli mtupu Redbull baba lao.. nakuwaga nazo kwenye begi kama sio begi kwenye siti ya nyuma ya gari huwa nazijaza kama dukani 😀😀😀 bila kusahahu strawberry.. bajaji aliniacha salama na sasa hivi nipo Gairo baridi hapa kha 🍓🍓
 
Aahahahahaa jiraniiii, nimerejea.

Imeishaaa hiyoooo, imebaki utekelezaji tuu...😋😋

Ila isiwe kipindi cha mvua tafadhali.

Huko kuogelea 🤔🤔🤔..... Yaani tutoke Dar gari moja tunapokezana u co-driver halafu nikuache kipalapala...!!

Au kila mtu anakuwa kwenye usukani wake...?? Sijakuelewa jiranii.
😀😀😀😀 sijui niliandika manini safari mkianza pamoja shurti mmalize pamoja.. baada ya hapo Lushoto.. ni kuacha alama tu
 
Back
Top Bottom