Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20210827_161438.jpg
 
Halafu nataka niiache hii tabia sio nzuri....

Hako katusi kamenizoea mdomoni....

Huwa nakaachia sana nikiwa barabarani safari ndefu nimepata upenyo wa ku overtake nshapiga mahesabu yangu halafu in-between kamatokea kamsengerema kamoja, pedeli zake nguvu au pushing yake iko chini anajipenyeza mbele yangu......

Yaani huwa kana nitoka maana anakuwa kanisababisha nikanyage breki bila mahesabu na nirudi kushoto bila kufikia lengo.

Ila huwa nahangaika hadi namuacha nyuma kisha motooooo...😁😁.

Yaani sijui ntaweza kukaacha maana kamechangamkaaa zaidi ya sengerema...😆😆
😀😀😀😀 wasengerema wengi sana hasa huko highway hawachelewi kukuchomekea uingie kingi. alafu wakucheke na wakupe pole dawa yawa wabakie wanasoma plate nunber tu 😀😀😀 sikaagi karibu nao ni mwendo wa 180-220
 
😀😀😀😀 wasengerema wengi sana hasa huko highway hawachelewi kukuchomekea uingie kingi. alafu wakucheke na wakupe pole dawa yawa wabakie wanasoma plate nunber tu 😀😀😀 sikaagi karibu nao ni mwendo wa 180-220

Tuko njia moja...
One two one two....

Kuna mmoja na mkonge wake alihangaika sana anipite na nikawa namuachia sababu huwa sifanyi ligi ila sasa unaweza jikuta mbele kuna msemi trela nafasi ya ku overtake ipo unamsubiria aanze maana yuko mbele yangu haendi nikichomoza tuu nae huyoo...

Alinifanyia hivyo kama mara tatu hiviii

Daaadeekiiii, nilipomuacha hakunikuta hadi nafika kwa Kijazi Intersection 😅.
Labda kama aliishia Ruvu...
 
Tuko njia moja...
One two one two....

Kuna mmoja na mkonge wake alihangaika sana anipite na nikawa namuachia sababu huwa sifanyi ligi ila sasa unaweza jikuta mbele kuna msemi trela nafasi ya ku overtake ipo unamsubiria aanze maana yuko mbele yangu haendi nikichomoza tuu nae huyoo...

Alinifanyia hivyo kama mara tatu hiviii

Daaadeekiiii, nilipomuacha hakunikuta hadi nafika kwa Kijazi Intersection 😅.
Labda kama aliishia Ruvu...
Jirani inabidi tupige road trip moja ya kibabe... niliunge tela tukaachane pale kama unaenda kipalapala mie narudi chini kidogo 😂😂😂😂 huku tabora boy nanyanyuaaa paka igombe kuogelea
 
Back
Top Bottom